Inamaana yule dada Bungeni Mbunge viti maalum kusema kwamba Rais awekwe kwenye Sarafu ya Mama anakupiga Mwingi hicho ndio kiashilia kwamba hampendi Rais?Katika kuelimishana, naomba kuuliza wadau hasa jinsi ya kike.
Je, kuna ukweli katika kauli ambayo imekuwepo kwa miaka mingi katika jamii zetu kwamba wanawake huwa hawapendani wao kwa wao?
Karibuni wadau tuelimishane, kama hili jambo ni la kweli, na ninini ni kisababishi chake, na pengine nini kinaweza kusaidia hii hali ikaondoka kama ipo kweli.
hopejunior profile picture yako inaonesha wewe ni mwanamke. kwahiyo utakuwa unaufahamu kubwa juu ya hili jambo.Ni kweli kabisa, kuna baadhi ya wanawake wanawaharibia mambo yao wanawake wenzao tena unakuta ni marafiki
sio kiashiria, yule inaonesha anampenda ndio maana akatoa hoja ile.Inamaana yule dada Bungeni Mbunge viti maalum kusema kwamba Rais awekwe kwenye Sarafu ya Mama anakupiga Mwingi hicho ndio kiashilia kwamba hampendi Rais?
kwasababu ni nature haiwezi kuondoka hii hali.No reason behind, its nature
Sawa Jadda, mfano ni circumstances zipi unaona?Hapana wanawake si kuwa hawapendani hizo ni propaganda tu za wanaume, kwa sababu ukiangalia circumstances nyingi ambazo wanawake wanasemwa kuwa hawapendani, ni zile ambazo hata ingekuwa ni wanaume wangefanyiana kama au sawa na wanawake tu
Hii kali. Hivyo vingine vilikuwa ni vyombo wametumia wanaume?Kuna siku demu alikataa kuosha sahani alilotumia demu wa chumba cha jirani maana huwa tunaweka vyombo vichafu sehem moja nje lakin vyombo vingine aliosha
kuwachanganya ndio sababu ya kutokupendana?Siku mtakayoacha kutuchanganya tutapendana..!!
Kuharibiana sio kwa marafiki wa kike tu hata wa kiume ndo maana kitu urafiki sikipendiNi kweli kabisa, kuna baadhi ya wanawake wanawaharibia mambo yao wanawake wenzao tena unakuta ni marafiki
kweli kabisa. dunia imebadilika.Kuharibiana sio kwa marafiki wa kike tu hata wa kiume ndo maana kitu urafiki sikipend
Eee hatupendi kusharekuwachanganya ndio sababu ya kutokupendana?
Sana aseekweli kabisa. dunia imebadilika.