Wanawake, ni kweli huwa mnafurahia mpenzi anapozama chumvini au wanaume wanajipendekeza na kuwasumbua tu?

@smart 911
 
Nilikuwa najiuliza kwanini vijana wengi siku hizi wana mapengo,naona sasa nakaribia kupata jibu....
 

Link hiyo kwa wasiojua kikristu muombe maelekezo. Hints chache:

β€’ Giving oral sex to a woman is more risky than giving oral sex to a man.

β€’ HPV (yaani human papilloma virus) does not directly give you cancer, but it causes changes in the cells it's infected (for example, in the throat or cervix) and these cells can then become cancerous.
If cell changes do happen, it can take a long time, even decades.

Binafsi, baada ya kujielimisha sana na kupima risks niliamua kuacha kuzama chumvini.
 
Kuwa makini na kansa ya koo, K huwa inavirus wanaoishi humo na hawana madhara kwa hiyo kitu, sasa wakikuingia mdomoni baada ya miaka kadhaa utajuta
Hakuna virus wanaoishi kwenye K na wasio na madhara labda bacteria. I stand to be corrected
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…