Wanawake, ni kweli huwa mnafurahia mpenzi anapozama chumvini au wanaume wanajipendekeza na kuwasumbua tu?

Ukimkuta mjuzi,Yaani unatamani asikuachie
 
Na mvua hazinyeshi
Na umeme unakatika
Na bidhaa zimepanda
Na tozo zinazidi
Na mafuta et yapo ya siku ngapi sijui.. watanzania tutafika motoni haraka sana..πŸ˜‚
Jaribu kwenda na wakat bas
 
Hivi mkuu mkojo nao si niuchafu? Hivi unajua kama mkojo ni dawa? Ebhana eeeeeh! Tusipangiane bhana wewe unaependwa si umekatazwa sisi mkeo hatupendi ndio maana tukihitaji tunapewa mda wowote na pesa juu unazompa wewe unaependwa

Ww unapendwa ndio maana kuna mda hata papuchi hupewi kabisa mkeo anakupenda hataki uchoke tunaotakiwa kuchoka ni sisi ambao hatupendwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…