Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Zile ndevu kuna namna akizitumia unainjoi mambo yenu 6×6Mimi nilikuwa sipendi kabisa mwanamume mwenye ndevu ... Ila kwa sababu nyinginezo.... Nipo na Mwenye ndevu za kutoooosha😂😋
Nimezoea Sasa.... Ila huwa namkumbusha kwenda barber shop mara kwa Mara😩😂
funguka sasa 😂Hakika.... Pesa haitoshi.....😩🤐🤧🥴😂😅🤣
Huwa anapenda nizichane, nipapase kidevu wakati amepumzika.... Anapata usingizi fastaaaa.... Basi.... Nahudumia kidevu na ndevu zangu kwa mahaba yooote😂😅🙈🙊Zile ndevu kuna namna akizitumia unainjoi mambo yenu 6×6
kabsa yaanThread closed
Na thread ifutwe kbsa😁Mjadala ufungwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona mambo hayo jamaa atakuwa anakuinjoi sana 😋😀Huwa anapenda nizichane, nipapase kidevu wakati amepumzika.... Anapata usingizi fastaaaa.... Basi.... Nahudumia kidevu na ndevu zangu kwa mahaba yooote😂😅🙈🙊
Naomba Hichi kitabu Mzee babaMwsho wa kunukuu
😂 😂ila.....mmoja nimeona anasema anataka mwanaume asiye na ndevu kabisa
[emoji23][emoji23]Hapo somo limeshasomeka[emoji23]
Hyo mi nmeokota picha tu mkuu sina kitabu chaKeNaomba Hichi kitabu Mzee baba
na mwisho wa hii thread [emoji3]Mwsho wa kunukuu
Hahahahaha ikiwezekana ifutwe kabsana mwisho wa hii thread [emoji3]
Ndo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na thread ifutwe kbsa[emoji16]
[emoji1666][emoji1666]Hyo mi nmeokota picha tu mkuu sina kitabu chaKe