Tunataka tuwe juuHapo kwa majirani Ukraine raia wanakimbia vita lakini wanaume kuanzia miaka 18 kwenda juu wanazuiliwa wasiondoke. Wanawake na watoto kiulaini wanavuka boda kuingia Poland. Kama wanawake wanataka usawa kwanini wasibaki kupambana kama wanaume?
Beijing wanasemaje?
JUU IPI UNAYOTAKA WEWE MAANA MWENZIO LEO NIMEMUWEKA JUU AIKALIE KALIA ETI INAUMATunataka tuwe juu
Wajanja wachache wanataka kula hela za wazungu kwa kupiga tantalila za hapa na pale za usawaMambo ya kutafuta usawa hua ni kelele tu za watu kutafuta nafasi za kupiga pesa kupitia vi-progamu vya uongo na kweli. MWANAUME na mWANAMKE haitatokea wakawa na usawa. Never
Wabaki wamface Putin uso kwa uso si wanataka usawa?Hutawaona hapa watapita kimya kimya kabisa amini.
Juu ya nini madam?Tunataka tuwe juu
Utaskia mwanamke kipepeo sijui mwanamke kinara sijui mwanamke wa nguvu, miradi ya watu hiiWajanja wachache wanataka kula hela za wazungu kwa kupiga tantalila za hapa na pale za usawa
Huu ndio ukweli.Mambo ya kutafuta usawa hua ni kelele tu za watu kutafuta nafasi za kupiga pesa kupitia vi-progamu vya uongo na kweli. MWANAUME na mWANAMKE haitatokea wakawa na usawa. Never
Hah jinga kweli wewJUU IPI UNAYOTAKA WEWE MAANA MWENZIO LEO NIMEMUWEKA JUU AIKALIE KALIA ETI INAUMA
πππππTunataka tuwe juu
Wenyewe wanajiita superwoman, lakini hata kupiga ndege kwa manati wanaogopa achilia mbali kukanyaga mende.
Wanafikiri usawa ni kitu kirahisi usawa una gharama zakeKe wanataka usawa wa "chako ni changu na changu ni changu kifedha" ila si kwa kila jambo kimaisha.
Wanafikiri usawa ni kitu kirahisi usawa una gharama zakeKe wanataka usawa wa "chako ni changu na changu ni changu kifedha" ila si kwa kila jambo kimaisha.
Kwamba tufe ili wao wawe juu!No, watakuja ila kwa angle nyingine ili kuwatoa watu nje ya mada.
Angalia dadako Mamndenyi alichoreply hapo juu, yaani kaandika ki_question air?.