wanawake ni viumbe waajabu

Kijana Jr

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
560
Reaction score
845
*MAZINGAOMBWE*
Man can do woman can do it beta hii jeuri sijui wanaitoa wapi wakati wakikojoa wanaweza kuandika hata jina lake chini si kila mwanamke anafa kuwa mkeo baada ya kutoka safarini kwa muda wa mwezi mmoja na kuendelea bila kukutana na mkeo\mpenzi wako ile unafika home Chukua simu ya mke\mpenzi wako
alafu mtumie meseji rafiki
yake andika "Daah eti ndio amerudi mda huu
best"...
jibu litakaro kuja. Utuambie hapa
N.b angalizo usije chukua karatasi na kalamu
ukaanza kuandika talaka*
Anythng ruhsa i am not perfect
 
Ni kweli,wanawake wengine hovyo sana na hawana uaminifu.
 
Mwanamke ni
Mama yako
Dada yako
Mke wako
Mtoto wako
Bibi yako
Shangazi yako
Binamu yako
Mpwa wako

Hebu tuanze na mama yako we dogo... Mama yako ni kiumbe cha ajabu???

Mama yangu mimi si kiumbe cha ajabu. Ni mama yangu, mwanamke mwema, mlezi mzuri, mwalimu wangu, mvumilivu na mwaminifu. Amenibeba tumboni miezi tisa na bado akanilea mpaka nimekuwa mtu mzima.

Ni kima tu au kenge asiye na adabu anayweza kumwita mama yangu "kiumbe cha ajabu". Kwa kuwa hawana akili.
 
dah kwa majibu yalivyo kuja aise nime mwambia wife natoka kidogo naenda cheki game england vs manchester
 
Sasa kama unawasiwasi nae inamaana humuamini, na kama humuamini si umuache tu???
 
Naona weekend imeshaanza mkuu
Zenaaaa.... nipe bili yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…