Ndio maana nikasema analipa kwa sababu ya PR tu maana ela yetu tunachanga Lol.
Ukizingatia tayari niko powerful nsipojishusha kwenye kadamnsasi kwa mila za kiafrika mume anaweza kudharauliwa. Lol.
Mmmh... Mtambuzi umenikumbusha mbali kidogo.... Nilikuwa na mpenzi wangu, mara nyingi tukitoka out mie ndie nilikuwa nalipa gharama zooote kisa, nilikuwa nampenda hata sikutaka aingie gharama za aina yeyote... Alivyokuja kunitenda nikapata somo.... Mimi kulipa gharama za outing kwa boyfriend sijui mpenzi, mchumba ni MARUFUKU!! Mpaka hapo nitakapokuwa wake rasmi ( Ndoa) hapo ndio nitagharamia outing..
i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.
btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.
btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
Tatizo si Binti wala Hotel, ila kiherehere cha kumpeleka sehemu usoweza ku afford, lol.
sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?
hahahahahaha lo sitihi neno kimyaaaaaaaaaa hapa it like ulikuwa unasubiri mtu alete uzi huu am tied now
Hizo si sapuraiz!!! Tunaongelea utaratibu wa kila siku wa maisha ...hasa sie tunaotoka kila week end. Lol.
Huyo alokwambia usipotumbua ela ya mumeo watakula vimada...hana akili na ulifanya vizuri kumtema...Mume achunwi bana. Na hizo mentality kwangu ni upuuzi mtupu.
Kuna mtu alishawahi nambia NK una joint account na mumeo...unawajua wanaume wewe? Nkamwambia siwajuhi wanaume namjua mume wangu. Huyo ni accountant wetu huyo na ni mama mlokole. Hapo nilikuwa ndio naolewa...basi alinambia "mi nipo utanifuata kubadili account' nkamwambia 'ushindwe na ulegee"
Nadhani bado anasubili na huu ni mwaka wa nane na sina mpango wa kubadili account.
Halafu ndio imetokea umempeleka binti Hoteli kama Kilimanjaro Grand Hyatt, pale soda tu shilingi 5,000, bado hujasoma menu, ikitokea kaagiza Lobuster, mai weee..........!
i bet to differ with you ma honey hivi kweli, hata kama mmedefine uwe ni wa kiafrika hivi utakuwa mnyimi kisa the man wants to be treated like african king? hii naona haijakaa vyema kwangu.
btw mimi huwa nauamini sana mfuko wangu aisee manake kama hauko poa hata uniambie tutoke nachomoa lol!, kama vipi tupige stail ya kila mtu anunue kinywaji chake but tutashare sigara tu.
sawa kabisa ila hebu tuchukulie kuna siku waweza kumwambia mr leo twende nikutoe? na je sehem kama hiyo uko free kumsave?
umechoka nini kwani?
Kila mtu hapa atakuja na kituko chake,lakini nawaambieni,kile kinachokufanya ufanye jambo lolote ndo chenye maana kubwa!
kiukweli naskia raha akilipa yeye, sana tena sana.
Mie nitacompasate kwenye matumizi mengine home, ila kama ananitoa out acha nideke japo nina mvi.
Mwanamme akitoa ina raha yake bwana, unakuwa unajisifia unaona 'jembe' langu, saa hizo mie 'toto' nimetulia tuli.
Ila kama najua hana, hapo nitarekebisha tokea huko nyumbani, akae nazo pesa basi atalipia yeye, ila awe hana.
Ila tena, kama hana ananialika twende wapi???
Hasara tena Mtambuzi? What is the use of money then?
Jamani nitachangia kwenye Ada za watoto, ujenzi na maendeleo mengine; lkn mtoko akuuu!
Jamani mualikaji si ndio analipa bill?
Wanaume wengine hawapendi hasa kwa huu mfumo jike unaoanza.
Ila kiukweli inapendeza mwanaume ndio alipie, naweza compasate kinamna nyingine; kama kununua kitu cha thamani kwa ajili ya nyumbani!
Raha ya mtoko, hubby atoboke! LOL