Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

Wanawake: Ni wakati gani mnadhani ni muafaka kuanza kulipa gharama za mtoko (dates)........?

akimgusa gusa, mbebeshe kwenye tissue paper aweke kwenye pochi.

Nauhakika akifika home ataruka ruka na kumla hadi magamba.

Ha ha ha...kitu lobster...halafu kinachouma zaidi lobster mwenyewe anaguswaguswa tu juu juu,robo tatu nzima mnaacha mezani hapo
 
kiukweli naskia raha akilipa yeye, sana tena sana...Ila kama najua hana, hapo nitarekebisha tokea huko nyumbani, akae nazo pesa basi atalipia yeye, ila awe hana...Ila tena, kama hana ananialika twende wapi?/QUOTE]

Sometimes una akili wewe!!..me like this!!
 
Nice topic..I miss my baby so bad..her money was mine,mine was hers,we just never thought of money at all..it always was a heartfelt pleasure to buy anything for her,..one time,as we planned for our marriage,I remember her telling me 'u know what babe,let's move in together,I'll be paying our rent'..such a woman,I miss her so bad.
 
ha ha ha, wanamme hata kama unamzidi pesa, lazima ukae nao kwa akili.

Mpe pesa akae nazo tokea home, akifika aah mambo swafi.

kiukweli naskia raha akilipa yeye, sana tena sana...Ila kama najua hana, hapo nitarekebisha tokea huko nyumbani, akae nazo pesa basi atalipia yeye, ila awe hana...Ila tena, kama hana ananialika twende wapi?/QUOTE]

Sometimes una akili wewe!!..me like this!!
 
Mialiko ya hivyo ipo...na ni special places si kule tunakokwenda mara kwa mara. Lakini inategemea na timing maana mume wangu always yuko kamili tukienda mahali kwani anajua yeye ndie mlipaji. Narudia tena kwangu sioni kama namuumiza jamaa kulipa kwa kuwa ela yangu ni yake na yake ni yangu. Hiyo ndo point kubwa...sasa nani kalipa haibadili ukweli kuwa ela yetu imetumika.

sasa ngoja labda nikwambie nilichojifunza kwako kwamba nyie mna umoja in everything hilo nimelipenda sana. na kweli walia vijana wajiafunze hapa.

mimi kwangu, umoja upo sana ila tu moneywise kila mtu ana akontribute separately, like ingawa najua income yake na yeye anajua ya kwangu, but maamuzi ya mwisho yanafanywa na mtu binafsi kwa utash wake. so hata kama labda ni gari tunanunua huwa tunasema kabisa tunaweza kupata hela hiyo after how long na kila mmoja anasema anaweza kukontribute kias gani na hata kama ukishindwa akufikia lengo lakoa lkn ukaonyesha juhaudi its ok manake huwa hali halisi tunajuana.

lakin pia nina ndugu yangu siku moja aliiambia usifanye kushare cost na mr atakuliza sasa hakuwa na mashiko manake nilimuuliz ivipi akasema siku ukifa wengine wanafaid nikamwambia si kama siku yeye akifa wengine watakavyofaid? akasema wewe ndugu wa mume hawatajua kama ulichangia nikasema hicho ndo kitu cha mwisho ndugu kuniambia nikiwa hai.
 
ha ha ha, wanamme hata kama unamzidi pesa, lazima ukae nao kwa akili.

Mpe pesa akae nazo tokea home, akifika aah mambo swafi.

Hata mhudumu wa hotel akifuata bili ukimwambia analipa yule pale dada naonaga wanashtuka sana..
Hata kama alitaka kuleta pozi unaona anaufyata..lol!
 
akimgusa gusa, mbebeshe kwenye tissue paper aweke kwenye pochi.

Nauhakika akifika home ataruka ruka na kumla hadi magamba.

Ha ha..mkuu masista duu utawaweza bana??tumepigana chenga ya mtoko wa lunch na mtoto mmoja mzuuuri sana,siku ya siku imefika,kagusa vijiko viwili tu plate yenye gharama ya kutosha..aliniacha nang'aa macho tu nisiamini kama kweli nalipia chakula ambacho hakijaliwa
 
pole, you will meet her someday!

Nice topic..I miss my baby so bad..her money was mine,mine was hers,we just never thought of money at all..it always was a heartfelt pleasure to buy anything for her,..one time,as we planned for our marriage,I remember her telling me 'u know what babe,let's move in together,I'll be paying our rent'..such a woman,I miss her so bad.
 
bora umesema, ya nini kunipeleka kwenye hotel ambazo msosi unatambuliwa kwa mboga??

Eti 'Prawns with mashed potato'

ni bora anipeleke za kiswahili ambapo msosi unatambuliwa kwa nafaka 'wali ng'ombe'

ikishindikana, hata kiosk akaninyweshe soda tu.
Kongosho kuna wanaume wanasahau kwamba wa mbili havai moja na wa moja vile vile havai mbili. sasa wanaishiaga kuchamba kwingi mwishowe.............
 
Last edited by a moderator:
Sasa mbona hapa ndio gharama zaidi my dear Kaunga

Silipi bill sio kwa ajili ya gharama, lkn kwa kupata ile raha ya kutolewa na hubby.

Kama nimemtoa mimi, that should be my treat, lkn akinitoa yeye; haiswihi mimi hata kuchangia, unless kasahau wallet!
 
Last edited by a moderator:
Silipi bill sio kwa ajili ya gharama, lkn kwa kupata ile raha ya kutolewa na hubby. Kama nimemtoa mimi, that should be my treat, lkn akinitoa yeye; haiswihi mimi hata kuchangia, unless kasahau wallet!

Na sisi hapa ndipo tunapochukuliaga ujiko..
 
Mh...this is interesting..ngoja nkaanzie mwanzo..b bak..
 
Mimi huwa sipendi kabisa kuwaambia wana ndoa namna ya kutumia pesa zao. eti ninavyofanya mimi na mume wangu ndio mfano wa kuigwa...BIG NO.

Ila nachojua tokana na experience yangu watu wengi ni kama wana joint accounts ila katika separate names..kwa nini nasema hivi;

Nachukulia mfano wa mdogo wangu...nyumba wamejenga na mumewe...kila mtu alichukua mkopo.
Watoto wanachanga kuwapeleka shule.
Matumizi ya ndani kila mtu anachangia ingawa sidhani kama wana formular ya 50/50.
Anajua kila fedha mumewe anayopata hasa mshahara na wakati mwingine mpaka bonus (najua inawezekana nyingine hasemi)

Akipigwa mzinga hasemi 'sina ela' anasema 'hapa tulipo wote hatuna ela'.Lol

Sasa hao kuna tofauti gani na sie wenye joint account au kwa kuwa yeye ela yake inaingia kwake kwanza kabla ya kutoka?


sasa ngoja labda nikwambie nilichojifunza kwako kwamba nyie mna umoja in everything hilo nimelipenda sana. na kweli walia vijana wajiafunze hapa.

mimi kwangu, umoja upo sana ila tu moneywise kila mtu ana akontribute separately, like ingawa najua income yake na yeye anajua ya kwangu, but maamuzi ya mwisho yanafanywa na mtu binafsi kwa utash wake. so hata kama labda ni gari tunanunua huwa tunasema kabisa tunaweza kupata hela hiyo after how long na kila mmoja anasema anaweza kukontribute kias gani na hata kama ukishindwa akufikia lengo lakoa lkn ukaonyesha juhaudi its ok manake huwa hali halisi tunajuana.

lakin pia nina ndugu yangu siku moja aliiambia usifanye kushare cost na mr atakuliza sasa hakuwa na mashiko manake nilimuuliz ivipi akasema siku ukifa wengine wanafaid nikamwambia si kama siku yeye akifa wengine watakavyofaid? akasema wewe ndugu wa mume hawatajua kama ulichangia nikasema hicho ndo kitu cha mwisho ndugu kuniambia nikiwa hai.
 
"Kama mjuavyo mtoko ni gharama na gharama hizi mara nyingi huzibeba mwanaume,"

Aisee uu uzi umenitia machungu nikikumbuka tulitaka kugongwa na gari 2009 kisa mabishano ya pesa ya kwenda kula mahali,yani jamaa alikuwa anapesa lakini yake haitumiwi na ikafikia tukitaka kutoka naanza kumwambia awe a pesa yake aah sitaki hata kuendelea nikimfikiria. Tena he is back after 3 years yani huu uzi umenifanya niendelee kumchukia.
 
I paid on our first date na boyfriend wangu, from then kila tunapoenda ananiachia nilipe,daladala,bajaji ananiangalia usoni nilipe,..hadi samtaim nasingzia kuumwa ili tusitoke...NIMEKOMA..
 
mie silipii hadi tuambizane uhusiano wetu ni wa kimagaharibi au wa kiafrika?

Kama ni wa kimagharibi, inayomaanisha nitapata haki zote kulingana na makubaliano ya Beijing, basi kila mtoko nitagharimia nusu kwa nusu.

Ila kama anataka mahusiano ya kiafrika ambayo mwanamme ana sauti kama kiongozi wa kundi la wanawake anaowaongoza, basi sitalipia asilani.

Mie hapa huwa naona wanamme wanajikanganya, anataka um-treat kama african king halafu kwenye cost sharing anataka twende kimagharibi, hii haiwezekani na haikubaliki.

Tehe tehe...ni wa kimagharibi basi.tehe tehe..ladies buana!!!
 
na hapo ndipo ulipokosea, unless kama wewe ndo ulimwalika.....
1st - 5th date shurti mwanaume ulipe, na hapo mie nakusoma hata the way anavyotreat wahudumu, unajua huyu yukoje.....

I paid on our first date na boyfriend wangu, from then kila tunapoenda ananiachia nilipe,daladala,bajaji ananiangalia usoni nilipe,..hadi samtaim nasingzia kuumwa ili tusitoke...NIMEKOMA..

pole yako mwayego...

"Kama mjuavyo mtoko ni gharama na gharama hizi mara nyingi huzibeba mwanaume,"

Aisee uu uzi umenitia machungu nikikumbuka tulitaka kugongwa na gari 2009 kisa mabishano ya pesa ya kwenda kula mahali,yani jamaa alikuwa anapesa lakini yake haitumiwi na ikafikia tukitaka kutoka naanza kumwambia awe a pesa yake aah sitaki hata kuendelea nikimfikiria. Tena he is back after 3 years yani huu uzi umenifanya niendelee kumchukia.

....mmmmmh Preta umenikumbisha mbali, kuna kidume kilinitokeaga enzi hizooooooo tena sio kunitokea bali kilinikuta naenda bar ya amani kula mishkaki (njiro, enzi zileeeeeeeeeee), akaamua kunijoin, nikafika pale akajishaua nilipe hela yake haijatoka ikitoka keshokutwa (ambayo ingekuwa jumamosi) atalipa, baada ya maongezi na kunitongoza juu.... na rafikie akamuita kula?(pumbav mishkaki nilipe mie nyau kabisa...)

sasa ilipofika jumamosi nilimuona kwa mbaali akapunga mkono na kuingia mitini, hamad jumapili nikawa naenda macdonad kula nikakutana nae njiani, akaamua kunijo
in, nikamruhusu vizuuuuri, nikafika nikaagiza, then nikamuita mhudumu nikamwambia nipe bili yangu chips kuku zangu na juisi tu huyu kaka atajilipia mwenyewe...(halafu alikuwa ameagiza na take away za kuwapelekea madogo zangu home) jamaa alimind mpaka kesho........

toka hapo ikanipa funzo, mambo ya kulipia videti sitaki mie, kideti nilipie, kunitongoza unitongoze ebooooh....ila kwa sasa ninalipa (sometimes) maana nikitoka natoka na mume wangu....... hata nikilipa ina thamani....


sijali kulipa......lakini be aware.....ni date ya ngapi......la sivyo.....your days are numbered.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom