Wanawake ni wengi kuliko wanaume, ila idadi ya wanaume wenye matatizo ya akili ni maradufu zaidi ya ile ya wanawake

Wanawake ni wengi kuliko wanaume, ila idadi ya wanaume wenye matatizo ya akili ni maradufu zaidi ya ile ya wanawake

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
998d17d0b9c71b1543b35433394e2983.jpg
Saikolojia?
Kwamba wanaume wanatunza uchungu moyoni bila ya kushare na wengine kama wafanyavyo wanawake kuwa wepesi midomoni.

Mihadarati?
Kwamba wanaume ndio watumiaji wa kupindukia wa madawa ya kulevya na ulevi wa pombe wa kupindukia zaidi ya wafanyavyo wanawake.

Uchawi?
1: Kwamba mwanaume ndio wa kwanza kirahisi kuwa targeted na madhara ya kishirikina kwa maana yeye ndio huonekana mtafuta mkate pia huwa anaonekana zaidi kuwa mkombozi wa familia.

2: Kwamba matapeli, wezi, etc wengi ni wanaume kwa hio wanapomfanyia mabaya mtu fulani mtu huyo hufanya "revenge" kwa kumroga.

Tupatiane sababu nyingine kuu, Karibuni wakuu.
 
Saikolojia?
Kwamba wanaume wanatunza uchungu moyoni bila ya kushare na wengine kama wafanyavyo wanawake kuwa wepesi midomoni.

Mihadarati?
Kwamba wanaume ndio watumiaji wa kupindukia wa madawa ya kulevya na ulevi wa pombe wa kupindukia zaidi ya wafanyavyo wanawake.

Uchawi?
1: Kwamba mwanaume ndio wa kwanza kirahisi kuwa targeted na madhara ya kishirikina kwa maana yeye ndio huonekana mtafuta mkate pia huwa anaonekana zaidi kuwa mkombozi wa familia.

2: Kwamba matapeli, wezi, etc wengi ni wanaume kwa hio wanapomfanyia mabaya mtu fulani mtu huyo hufanya "revenge" kwa kumroga.

Tupatiane sababu nyingine kuu, Karibuni wakuu.
Kafanye upya research yako, wagonjwa wa akili wengi ni wanawake, kinachokupumbaza wanavyovutia wanapendeza na mitako yao kumbe kichwani hamna kitu.

Fanya research ya domestic violence ndio utajuwa wanawake wengi ni vichaa ila huwezi kujuwa mpaka uwahoji waume zao na kama wapo tayari kukueleza ukweli
 
Kafanye upya research yako, wagonjwa wa akili wengi ni wanawake, kinachokupumbaza wanavyovutia wanapendeza na mitako yao kumbe kichwani hamna kitu.

Fanya research ya domestic violence ndio utajuwa wanawake wengi ni vichaa ila huwezi kujuwa mpaka uwahoji waume zao na kama wapo tayari kukueleza ukweli
Hahhahah daaah
 
Back
Top Bottom