bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,097
Nilipokuwa A Level demu wangu alikuwa anatoka na jamaa wa chuo. Tukazinguana kila mtu akala chobis yake.
Nikafika Chuo nikapata demu mwingine baada ya muda naye kazingua akawa anatoka na jamaa ambaye ni mfanyakazi wa serikali.
Mungu si athumani nilimaliza chuo nikaajiriwa serikalini nikapata mwanamke mwingine nikaoa kabisa. Haikupita round naye kaanza kuchepuka na jamaa flani kisa tu ana kausafiri.
Nikaona sio mbaya labda kubanana kwenye daladala hawezi, nikajichangachanga nikamnunulia kausafiri (japo ni used)
Leo nashangaa kupata habari mke wangu anatoka na kajamaa ka chuo...
Imeniuma sana hivi nyinyi kipi hasa mnachohitaji??
Nikafika Chuo nikapata demu mwingine baada ya muda naye kazingua akawa anatoka na jamaa ambaye ni mfanyakazi wa serikali.
Mungu si athumani nilimaliza chuo nikaajiriwa serikalini nikapata mwanamke mwingine nikaoa kabisa. Haikupita round naye kaanza kuchepuka na jamaa flani kisa tu ana kausafiri.
Nikaona sio mbaya labda kubanana kwenye daladala hawezi, nikajichangachanga nikamnunulia kausafiri (japo ni used)
Leo nashangaa kupata habari mke wangu anatoka na kajamaa ka chuo...
Imeniuma sana hivi nyinyi kipi hasa mnachohitaji??