Wanawake nisikilize, Mapenzi tu hayawezi kumbakiza mwanaume

Wanawake nisikilize, Mapenzi tu hayawezi kumbakiza mwanaume

Peter Mwaihola

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2022
Posts
276
Reaction score
460
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano. Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.

Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae". Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.
IMG_17207991725499558.jpg
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano.
Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.
Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae".
Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.
Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.
Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.
Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.
Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.
Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.View attachment 3040585
Well said
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano.
Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.
Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae".
Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.
Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.
Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.
Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.
Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.
Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.View attachment 3040585
Kazi ya mwanamke sio kukutafutia uchumi au kua mshauri wako wa biashara sio business partener, kazi yake ni kutunza familia na kukupa furaha, kama wataka wakukusaidia kimawanzo tafuta consultant firms zipo nyingi mjini.........never ever depend on your wife for your progress, mkuu utakwama bure.
 
Kazi ya mwanamke sio kukutafutia uchumi au kua mshauri wako wa biashara sio business partener, kazi yake ni kutunza familia na kukupa furaha, kama wataka wakukusaidia kimawanzo tafuta consultant firms zipo nyingi mjini.........never ever depend on your wife for your progress, mkuu utakwama bure.
Itakuwa hujamuelewa mleta mada,rudia kusoma
 
Kazi ya mwanamke sio kukutafutia uchumi au kua mshauri wako wa biashara sio business partener, kazi yake ni kutunza familia na kukupa furaha, kama wataka wakukusaidia kimawanzo tafuta consultant firms zipo nyingi mjini.........never ever depend on your wife for your progress, mkuu utakwama bure.
Well said.
 
Sasa sijui tumsikilize nani
Mara ooh mwanaume anataka heshima, ooh uwe good kunako mara sasa hivi mmehamia kwenye kusaidiwa maisha doh haya
 
Maana itakuwa na maana gani mwanamke kuwa liability to man?

Hiyo K ataiona tamu ni mwanzoni tu tena wanasema ndani ya siku 90 tu baada ya hapo mwanamke unakuwa wa kawaida sana kwa huyo Mwanaume 👌👌

Baada ya hapo value addition interms of uzalishaji mali, constructive idea , heshima/adabu, good behavior, upendo kwa ndugu , wazazi na majirani,
Malezi mema kwa watoto n.k ndio vitakifanya iwe wa maana.
 
Back
Top Bottom