Wanawake nisikilize, Mapenzi tu hayawezi kumbakiza mwanaume

Wanawake nisikilize, Mapenzi tu hayawezi kumbakiza mwanaume

Tumegoma kukusikiliza😂😂😂😂
Akili tutatumia zenu bwana, au zimepungua mnataka tuwaongezee?
 
Imeandikwa: mke mwema anafanana na merikebu ya biashara kutoka mbali.

Hutafuta mashamba na akauanunua kwa Pesa zake 👌

Hadhi na heshima ni ngao yake .

Mumewe huheshimika malangoni.

Huucheka wakati ujao.

Huzijua njia za watu wa nyumbani mwake.

Mume wake humsifia ( baada ya kuzalisha mali)

Huwalipa wafanyakazi wa nyumbani mwake haki zao kwa wakati .

N.k
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano. Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.

Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae". Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.
View attachment 3040585
Huo mkia utaanzaje kuuacha kwa mfano?
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano. Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.

Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae". Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.
View attachment 3040585
Tofautisha mapenzi na ngono mzee vinginevyo unatuchanganya
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano. Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.

Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae". Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.
View attachment 3040585
..... Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee..... "


🥰Wanawake Tubadilike🥰
 
..... Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee..... "


🥰Wanawake Tubadilike🥰
Wee mdada ebu njoo pm! I am serious! Please!
 
Haya mambo wala hayana formula, date or oa mwanamke unayeona anakufaa. Uchagua sana utapata kimeo, no one is perfect!
 
Inawezekana kila mwanaume anahitaji mapenzi kutoka kwa mwanamke katika uhusiano lakini mwanamke hupaswi kujidanganya kwamba mapenzi pekee yanatosha kwa mwanaume.

Kuna sababu mbili ambazo wanawake wanazilalamikia zaidi kwenye mahusiano. Utasikia, baada ya kumpa mwili wangu aliniacha.

Wengine utasikia wakisema "aliniacha kwa sababu nilikataa kulala nae". Zingatia kuwa waliotoa na ambao hawakutoa wote wanalalamika. je utofauti ni upi?.

Wanawake nisikilizeni, mapenzi tu hayatoshi. sio kitu pekee ambacho mwanaume anahitaji kutoka kwako.
Kama huna kitu kingine cha kumsaidia mwanaume mbali na mwili wako tafadhali baki mwenyewe.

Mwanaume hawezi kubaki na wewe eti kwa sababu amelala na wewe . Uhusiano sio kuuza na kununua.
Kuna maisha mengine zaidi anayahitaji kutoka kwako zaidi ya yale manjonjo ya chumbani.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye akili ya maisha.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye mawazo chanya.

Mwanaume anapenda mwanamke mwenye heshima.

Mapenzi ni kitu rahisi sana sikuhizi anaweza kununua wakati wowote lakini hawezi kununua ubora wa mwanamke.

Unatakiwa kujipambanua kwenye akili ya maisha zaidi ya mapenzi.

Achana na urembo wekeza kwenye uzalishaji na uchapakazi.

Mwanaume anahitaji mwanamke mwenye mawazo na suluhisho la maisha sio anaejipamba sura yake kwa rangi tofauti tofauti kama upinde wa mvua.

Anachohitaji mwanaume ni uzuri wenye akili sio urembo pekee. Badirika.

[emoji2398] Peter Mwaihola
Imetafrisiwa kutoka; Relationship Trips.
View attachment 3040585
Duuh
 
Back
Top Bottom