Eeeehhh.... loooong time£££$$$
Mamushka najua mnavyo tuvumiliaga, tupendagaa, ila OPENESS NOW IS ONLY WAY OUT IN LOVE MAKING, ukitaka mshikaki sema, samersault sema, upate Sea breeze b4 love sema, just semaaa, we are here, that's it
Mamushka ww unanijua inside out, sitii neno tutafutane my Sister.... $$$$$$ hizi zipo....
Nasikia Bujibuji kenda Libya kuanza kampeni za chinichini, anataka achukue nchi ya Waarabu.
Bujibuji i have to find you in person i admired most of ur posts, nipo Dar Airport working as an Aviatior, so ukiwa Libya nitafute tuanzishe Airlines ya Libya, even we can name it Gaddafi Airways to remember his legacy, sijui walibya watapanda, Mamushka anakusalimia sana sana
Iv chuo gan huwa kinafndisha haya mambo nataka nkamsomeshe baby wangu,au walimu wa humu ndan wanisaidie,wawe wanatoa contact zao
Mr President... Mie nshavaa kanga moja natafuta siti hapo kwa kitanda na sofa lakini naona nafasi zimejaa ntarudi baadae.. l.o.l
Halafu nawewe, nimekuchongea kwa wakwe kua una mwingine, wasihangaike tena kukupa mke. Ntakutafuta bwana twenzetu pale kiston kwetu.
Ayaaaa....!!! Usinchongeee mamiii, hapa mie nimetumwa tu kama mjumbe niongee nanyi viumbe, WAKWE WATANILAANI USISEMA KWA MAMAAAA, plsee Mamushka, tuonane pale Kingston kwetu, mwambie mchumba i sili silali, sioni sisikii, she is ma perfume, honey, lover, sukari, YEYE NI WANGU MM SI WAKE, nampenda sana, Ayaaaaa.... Nimeharibuu nini....!!! see u
Mwanamke hajaumbwa kuwa muwazi kiasi hicho,hautaambulia chochote hapo!Fungua mlango watoke wote mwisho wa kikao!
Very good imagination there is a smell of truth in itPole sana prezdaa, ni upweke unakusumbua bila shaka ndo maana unawaza maluelue, yawezekana pia utakua unaishi mwenyewe labda kwenye nyumba kubwa yenye vyumba vingi, inakupelekea kuwa muoga sana pole bwana.
lizzy una msimamo hadi rahaaa ila funguka bhana kwani hutapungukiwa na kitu,we wanna know.......Huyo anipae raha ndie ufungukaji wangu unmhusu..
Ah wapi! acha kutuibiamimi bikra babu tena ushindwe
Umeniacha njia panda hiyo bajaj na fly540 ni njia gani hebu fafanua mi ni mmoja wa wale tuliomtuma Mr.presidentkwa matazamo wangu, sex una enjoy kutegemea na ufanyaye, umemshiba na kumpenda kiasi gani na yeye performance yake ikoje. hili tendo linataka uwajibikaji wa pande zote mbili. Japo mwanamke anategemea sana uwajibikaji wa wananammme ndio na yeye apate kuchenguka sawasawa. ukibweteka na nini nitabweteka, ukidorora nitadoroa pia. ukinipagawisha, nitakupagawisha. kila mwanamke ana sehemu zake, hazifanani kwa wote, kama vile ambavyo na nyie wanaume mnatofautiana. muhimu nikuambiana. napenda uninyonye chuchu inategemea utanyonya vipi, nikikuambia nenda uvinza inategemea pia unaendaje, kwa bajaj au Fly540. kuna wanawake wanapenda uende uvinza kwa bajaj na mwingine anataka upande Fly540. kila mmoja na mapenzi yake. kujadili mara nyingine na kumjua mwenzio anapenda nini ni muhimu. huwezi kukurupuka tu ukaanza kwenda uvinza wakati mie sipendi vile tu ulieachana nae alikua anapenda. haiko hivyo. hapa kila mmoja atakuambia anavyochenguka yeye lakini si lazima na alieyekutuma wa kwake iwe hivyo.
Hope nimeeleweka japo mimi si mwandishi mzuri.