Mchambo ni kusemwa kwa kusutwa au kumhabarisha mhusika kwa mtindo wa kumsema na mala nyingi ili uchambike haswa tafaa kichambo hicho kifanyike mbele za watu
Danga ni mwanaume kuzugia au jibaba analolipata binti na anakuwa nalo kwenye magusiano ya kimapenzi kwa faida haina tofauti sana na buzi