Wanawake Njooni Tuongee:- Kwanini mnaolewa na msiowapenda na Kwanini mkiolewa mnachepuka??

Wanawake Njooni Tuongee:- Kwanini mnaolewa na msiowapenda na Kwanini mkiolewa mnachepuka??

Vitu vinginee si vya kuzingatia haswa akiongea ke … unakuta hata hakupendi ni vile tu ana stress zake


Yawezekana mume wake bado hajamkamata vizuri moyo wake ndio maana ana hangaika
 
INTRODUCTION.
YANGA Bingwaaaa
Nyie Hamuogopi??

BODY:-
Wanawake unajua nyie ni dada zetu, mama zetu, Shangazi zetu, rafiki zetu, N. K naomba niwaulize swali hili
1. KWANI LAZIMA KUOLEWA NA USIYEMPENDA??
2. UKIOLEWA KWANINI UCHEPUKE??
3. HIVI MNAJUA KUWA KUOLEWA HAKUNA UMUHIMU WOWOTE?

SCENARIO.
Kwenye hii mada yangu 👇👇👇

Kuna hiyo Pisi namba 5.

Hii pisi bana ndio alikuwa baby wangu.
Kipindi hicho nilikuwa kila nikienda Mbeya lazima nishukie kwake then ni mwendo wa mabao tuu.

Shopping kwasanaa Kabwe, Mwanjelwa, Uhindini na kwengine.
Bata kwa sanaa Mbeya Pazuri, Nasoma, City Garden na Kwengine

Kifupi Tulispend sanaaa maishaa ya mapenzi.

Akaleta pigo za "Nataka kuolewa" Nikamjibu ""Mimi sioi"
Kwa jibu langu hili akawa mbogo, full kununa, na kisirani.

Nikakaa pembeni.

Ghafla akapost picha FB kavaa shela, kwenye kumfata inbox na kusoma comments "ilikuwa sendoff" nikambariki na kumtakia ndoa njema na nikafuta namba yake mazima.

PROBLEM.
Sasa bwana tokea mwaka huu mwezi wa 5 amekuwa akinisumbua sanaa "Eti turudiane" kuolewa Alikurupuka..!! Bado ananipenda..!!!

Nikaona huyu "Ndezi" nikamjibu ""Mke wa Mtu Sumu""

THE BIG PROBLEM.
Amekuwa akinilazimisha sanaa nimgegede yaani amevuka mipaka.
Yaani hamuwazi mumewe ni kama yupo Single kwenye ndoa...!!!

Leo kanitumia meseji tokea alfajiri ni kulalamika tuuu..!!!
Shida gani hizi 👇👇👇
View attachment 3072249

Anaishi Mbeya, Chimala.
Ni mke wa mtu, watoto wa3 (1 single 2 mapacha) ila kutwa anashinda kwenye inbox yangu kubembeleza Mgegedo..!!!

View attachment 3072250
Yaani anajishusha thamani kisa mimi X wake, huku mumewe yupo.

Kama alinipenda....
1. KWANINI ALIKUBALI KUOLEWA?
2. KWANINI ASINGEKUBALI TU KUGEGEDANA BILA NDOA??

CONCLUSION.
Aiseee masele na mabaharia mlioa MNAGONGEWA BALAAA
Muogepe sanaa
1. X wa mkeo
2. Classmate wa mkeo
3. "Bodaboda wangu" wa mkeo.
4. "Mchungaji wangu" wa mkeo.

Kifupi:-
Wake zenu wanatulazimisha tuwagegede.
Na huu mbembelezo ""Mume kasahaulika kabisaaa""

Ningekuwa ndezi na akili finyu, Tarehe 31/07 mpaka 10/08 nilikuwa nanenane Mbeya.
Ningeweza kumvuta nitombeee siku zote, maana alisema ""Aje Mbeya halafu atafute cha kuagia"' eti watoto ni wakubwa hivyo kuwaacha na beki tatu isingeleta shida..!!!

#YNWA
#YANGA BINGWA
Walio kwenye ndoa watakumaindi mana umeweka spirit kwenye kidonda.
 
INTRODUCTION.
YANGA Bingwaaaa
Nyie Hamuogopi??

BODY:-
Wanawake unajua nyie ni dada zetu, mama zetu, Shangazi zetu, rafiki zetu, N. K naomba niwaulize swali hili
1. KWANI LAZIMA KUOLEWA NA USIYEMPENDA??
2. UKIOLEWA KWANINI UCHEPUKE??
3. HIVI MNAJUA KUWA KUOLEWA HAKUNA UMUHIMU WOWOTE?

SCENARIO.
Kwenye hii mada yangu 👇👇👇

Kuna hiyo Pisi namba 5.

Hii pisi bana ndio alikuwa baby wangu.
Kipindi hicho nilikuwa kila nikienda Mbeya lazima nishukie kwake then ni mwendo wa mabao tuu.

Shopping kwasanaa Kabwe, Mwanjelwa, Uhindini na kwengine.
Bata kwa sanaa Mbeya Pazuri, Nasoma, City Garden na Kwengine

Kifupi Tulispend sanaaa maishaa ya mapenzi.

Akaleta pigo za "Nataka kuolewa" Nikamjibu ""Mimi sioi"
Kwa jibu langu hili akawa mbogo, full kununa, na kisirani.

Nikakaa pembeni.

Ghafla akapost picha FB kavaa shela, kwenye kumfata inbox na kusoma comments "ilikuwa sendoff" nikambariki na kumtakia ndoa njema na nikafuta namba yake mazima.

PROBLEM.
Sasa bwana tokea mwaka huu mwezi wa 5 amekuwa akinisumbua sanaa "Eti turudiane" kuolewa Alikurupuka..!! Bado ananipenda..!!!

Nikaona huyu "Ndezi" nikamjibu ""Mke wa Mtu Sumu""

THE BIG PROBLEM.
Amekuwa akinilazimisha sanaa nimgegede yaani amevuka mipaka.
Yaani hamuwazi mumewe ni kama yupo Single kwenye ndoa...!!!

Leo kanitumia meseji tokea alfajiri ni kulalamika tuuu..!!!
Shida gani hizi 👇👇👇
View attachment 3072249

Anaishi Mbeya, Chimala.
Ni mke wa mtu, watoto wa3 (1 single 2 mapacha) ila kutwa anashinda kwenye inbox yangu kubembeleza Mgegedo..!!!

View attachment 3072250
Yaani anajishusha thamani kisa mimi X wake, huku mumewe yupo.

Kama alinipenda....
1. KWANINI ALIKUBALI KUOLEWA?
2. KWANINI ASINGEKUBALI TU KUGEGEDANA BILA NDOA??

CONCLUSION.
Aiseee masele na mabaharia mlioa MNAGONGEWA BALAAA
Muogepe sanaa
1. X wa mkeo
2. Classmate wa mkeo
3. "Bodaboda wangu" wa mkeo.
4. "Mchungaji wangu" wa mkeo.

Kifupi:-
Wake zenu wanatulazimisha tuwagegede.
Na huu mbembelezo ""Mume kasahaulika kabisaaa""

Ningekuwa ndezi na akili finyu, Tarehe 31/07 mpaka 10/08 nilikuwa nanenane Mbeya.
Ningeweza kumvuta nitombeee siku zote, maana alisema ""Aje Mbeya halafu atafute cha kuagia"' eti watoto ni wakubwa hivyo kuwaacha na beki tatu isingeleta shida..!!!

#YNWA
#YANGA BINGWA
Wanawake wanavutiwa zaidi na bad boys lakini kwenye akili zao wanafikiri wanawapenda nice guys, hapa ndipo wanapofanyaga makosa wakati wa kuchagua mume.
 
Back
Top Bottom