Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

HII MADA YA WAKUBWA AISEE MIMI MTOTO NIKAEPEMBENI NISIJE NIKALAANIKA BURE
 
Weka picha.
 
Weka picha.
 
Nimeasoma tu aya mbili za mwanzo.

Huwa nawaza hivi wanawake wanene wanajinyoaje, maana nywele zinaotaga hadi kwenye kingo za uke, akinyoa vibaya anajikata
Majimama yana vijana wa kuyanyoa ndugu. Hata mimi ninalo moja kila baada ya wiki mbili nakwenda kulinyoa. Na huwa nalipwa kwa "dola"!
 
hapa bestito sijakuelewa kabisa yaani aache kipanki cha aina gani maana wengine tunanyoa mpaka panakuwa white hahahahahhaaaaaaaa

Style yake inataka kufanana na hii ya kijogoo kwa sababu ni kama unaacha kimstari kushuka chini......mbona rahisi tu...best.....!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…