Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

kwani ukiendaga kusuka mabutu huogopi shughuli ya kulala hiyo siku.... ndo urembo best.

uzuri kwa hii shughuli ikiisha unasahau...
Hahaha msusi akiwa mbaya na panadol juu,nikitoka kusuka huwa naapa sisuki tenaaa,ila nywele zangu zikishanichosha kuchana na kubana narudi kusuka
 
Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
Sis umenichekesha daah
 
Sasa kama mkikutana mume ana kichaka na mke ana msitu.....wakati wa tendo lazima pawake moto...maana hiyo milipuko ni zaidi ya piston kwenye combustion chamber.....
hahahaha, sipati picha kati kati ya gemu moshi unaanza kufuka
 
Ngoja nijaribu waxng ntaleta mrejesho. Binafc mi siipendii hii minywele na inanipelekea kila wk kuzikwangua mpk kwapa na puchuchu vimebadlika rangi kwa kukwanguliwa kuutwa.... zikchomozaa ninazooo ukute na vpele vilikuja uuuwiii kiwembe kinaweza kiptia... rahaa yngu nipaone pako kiparaaaaaaa
 
Faida mojawapo ya pubic hair za mwanamke ni kuongeza ashiki ya mwanaume kama akinyoa kukawa kwa mtoto hakutamanishi lakini akinyoa zikawa fupi mwanaume akiona lazima atamani. Jiulize kwanini wanaume hawatamani papuch ya watoto simply because haina pubic hair!
 
Mpwa kuna haja gani ya kuanika tupu zako kwa watu wasio na mamlaka ya hata kuiona nguo yako ya ndani...??
Mimi nadhani jambo hili linaongeza sana mahaba na mwenzio kama utamshirikisha katika utendaji.....
Mkuu Naunga hoja Na umenena.Umuhimu wa uhusiano Mzuri kati ya Mke Na mume.Halafu Watu watasema
Ooooh jamaa kapigwa limbwata.
Wazazi wakike ndio huwasaidia kinadada usafi wa mwili.Kwa mfano kunyoa na usafi wa mazingira ya siri.Usafi na dawa za makwapa.Kutokana Na hayo.
Kila siku mapenzi yanazidi.
 
Kuna tofauti massage huwezi kuta mwanaume anafanyiwa na mwanaume mwenzie ni wa kike ndo anamfanyia and vice versa, na massage inakurelax mtu na ukishikwa muda mrefu hata uwe mgumu vipi lazma utaamsha hisia tu
Waxing ni unafanyiwa na mwanamke mwenzio, ndani ya dk 10,Ina maumivuu,wax hio inakuwaga ya moto hivi wanapaka wanavuta kwa nguvu hata km we ni mtaalamu wa kuamsha ashki waxing ni mwisho wa relii huwezi kutulia kuvuta hisia kwa yale maumivu
Nani amekwambia hii? Professional football players mfano wale wa English Premier League wanafanyiwa massage na physio na wanaume, unajua sababu? Kwasababu hamna majaribu kama wakifanyiwa na mwanamke. Mimi mwenyewe nafanyiwa massage na daktari wa kiume as part of my treatment, hata siku moja siendi kwenye hizi massage parlour coz ni ngono tu wanapromote.
 
Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
Napata picha.....🙂🙂🙂
 
Nani amekwambia hii? Professional football players mfano wale wa English Premier League wanafanyiwa massage na physio na wanaume, unajua sababu? Kwasababu hamna majaribu kama wakifanyiwa na mwanamke. Mimi mwenyewe nafanyiwa massage na daktari wa kiume as part of my treatment, hata siku moja siendi kwenye hizi massage parlour coz ni ngono tu wanapromote.
Kumbee mana story za humu JF massage parlour ni viroja vitupu
 
Fuga vitu vyote mwanamke usilogwe kufuga huo uchafu kesho utaambukizwa na malazi ya zinaa maana huchana wakati wa tendo...
 
Mi mshamba hadi naona aibu. Yaani waaaaa unachanua miguu halafu mdada sijui mkaka anakuhudumia humo? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
Nimecheka sana!!
 
Nilivyofika kwenye dola 2000 sawa na shilingi 180,000 nikaacha kuendelea kuisoma
 
Bora angetumia neno mavumbi badala ya mavuzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm nadhani hajakosea kwa kuwa humu tumo watu wazima lakini pia watu waweze kuelewa vizuri
 
Back
Top Bottom