LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Issue sio nani anaona nini,issue wengine viwembe havitupendi,waxing ndo inatutoa softyyyKwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue sio nani anaona nini,issue wengine viwembe havitupendi,waxing ndo inatutoa softyyyKwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???
Wangejua hio waxing ilivo painful hata wasingeleza habar za kupata ashki cjuialiyekwambia anaenda kushikwashikwa ni nani?
na hisia zinakujaje wakati makumi ya nywele yanachomolewa kwa wakati mmoja?
hii ni kazi kama zingine na mtu akija na agenda zingine atafukuzwa.
Kwani hiyo waxing huwezi kufanyiwa na mumeo....au boyfriend wako...???Issue sio nani anaona nini,issue wengine viwembe havitupendi,waxing ndo inatutoa softyyy
Mhhhhhhh!!!Hairy bits turn me on, well..kinda of..only that I'd not go down on her!!
![]()
![]()
Kauli yako tataKuna watu wamepinda.
Kwa kweli haiwezekani na huwezi kujifanyia,inahitaji ujuzi na vifaa,nadhani u should Google to atleast see how waxing is doneKwani hiyo waxing huwezi kufanyiwa na mumeo....au boyfriend wako...???
Hivi huoni aibu au kinyaa kuanika tupu zako hovyo kwa sababu kama hii......??
Kwanini asikufanyie mumeo....??Kwa kweli haiwezekani na huwezi kujifanyia,inahitaji ujuzi na vifaa,nadhani u should Google to atleast see how waxing is done
Aibu/kinyaa kwa kweli sina coz naenjoy benefits za ngozi nyororooo
Hana ujuzi wa kufanya,mi tu ukinambia nimfanyie mtu au nijifanyie siwezi, huwa inaumaKwanini asikufanyie mumeo....??
Ok....mpwa.....uwe na wakati mwema....Hana ujuzi wa kufanya,mi tu ukinambia nimfanyie mtu au nijifanyie siwezi, huwa inauma
Relax chief hatufanani ur life ur choices
Kuna tofauti massage huwezi kuta mwanaume anafanyiwa na mwanaume mwenzie ni wa kike ndo anamfanyia and vice versa, na massage inakurelax mtu na ukishikwa muda mrefu hata uwe mgumu vipi lazma utaamsha hisia tuDada angu hiyo kazi ndio ila haina tofauti na ile ya kufanyiwa masaji huwezi kunambia mtu anaishi kushika nywele tu ngozi asishike kwa sababu hiyo ishu inafanya kwa mikono
Ushawahi fanya hio waxing au unabisha tuUnabisha bure tu hivi katika viungo vyenye hisia kichwa na kidevu unaviweka...labda unambie kama wewe hata wakikushika maeneo hupati hisia zozote, mana waxing inafanya kwa mikono hasa vidole ndo hutumika zaidi kunyofoa hizo nywele na kwa vyovyote vile lazma mkono uguse ngozi na sehemu zingine nyeti
Mi wakiumeni labda wa Ubavu wangu ndo wakuleta mrejeshoUshawahi fanya hio waxing au unabisha tu
Kafanye afu njoo utoe mrejesho
Ungejua ilivo usingewaza habar za ashkiMi wakiumeni labda wa Ubavu wangu ndo wakuleta mrejesho
DI salon. nyuma ya best bite, Namanga.? Na wale ambao hizi nywele zimeeksitendi mpaka kwenye mfereji wa makalio inabidi ahudumiwe na watu watatu. Mmoja anashikilia la huku mwingine la huku mwingine anawaksi! lol. Kama kuna anayefahamu saluni wanayosuka hizo nywele anifahamishe nami nikarembwe jamani japo mwanzo mgumu. Kipara sipendezi.
kwani ukiendaga kusuka mabutu huogopi shughuli ya kulala hiyo siku.... ndo urembo best.Uwiii naogopa bana mwenzio!
comments zako huwa zinanisisimua sana! 🙂🙂Issue sio nani anaona nini,issue wengine viwembe havitupendi,waxing ndo inatutoa softyyy
Hahahah sasa naona aibuu lol...comments zako huwa zinanisisimua sana! 🙂🙂