Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

Wanawake: Nywele za sehemu za siri ni kero na karaha

Nilipoanza kusoma nikajua utaweka nondo nzur kuhusu dawa zinazotumika kunyeka hii misitu. nimechoka kunyeka kwa kutumia wembe wa mkono. Tafadharini naomben msaada ktk hili naitaj ijue dawa za kunyolea
Nenda pharmacy kubwa zipo cream za kuondolea hizo madini.
 
tupu zako ndo zimebeba utu wako? aisee
.
sioni ubaya wa utupu. sijui kwanini inaonwa kitu cha ajabu! unawajua maNudists? nikawe nudist kabisa. natamani siku dunia nzima tuwe manudists tu.

and yes Nina mtu mmoja anayenifanyiaga.

.
Katika fukwe za kijerumani ambazo baba, mama, mtoto na mjukuu wanavua nguo na kuanza kuogelea. Wengine huwa inashindikana ingawa wao husema mbona Afrika ni sehemu ambayo kwa makabila mengine wapo uchi. Uchi wako Mwafirika lazi uheshimiwe unaoneshwa kwa unayemchunuku tu
 
Mm napenda hizo manake nikiziona au kuzishikashika zinanipandisha mzuka mbaya sana, alafu kichwa kidogo kikizigusa wakati kikitafuta unanipotezea a usongo. Zinatakiwa ziwe kubwa kiasi au fupifupi km km tusindano, siipendi papuchi ambayo haina nywele hata kidogo.
 
Katika fukwe za kijerumani ambazo baba, mama, mtoto na mjukuu wanavua nguo na kuanza kuogelea. Wengine huwa inashindikana ingawa wao husema mbona Afrika ni sehemu ambayo kwa makabila mengine wapo uchi. Uchi wako Mwafirika lazi uheshimiwe unaoneshwa kwa unayemchunuku tu


Sauna za Finland mnaingia uchi familia nzima.


there are still a lot of westerners who think most of Africa is so backward with naked people living in huts.

and yes not all Westerners embrace nudism. but even with them can you not compare their dress codes, freedom and overall tolerance with ours.

I do not have such negativity with nakedness. sio kitu cha ajabu hivyo kwangu. mawazo yako ya uchi ni yako tu.
 
Jamani jf raha sana. Leo nimenuna sina hela ila nimejikuta nacheka sana
 
Mie nafanya waxing saloon yangu ipo kigamboni...
Nb. Me ni mwanaume
 
Post ingenoga ingekuwa na mapicha
Mafunzo kwa vitendo...
54f5987e9a03a43d92018ef0d118290e.jpg
 
massaging unaenda kushikwa na kurelax.

waxing unaenda kuchomolewa nywele na kuugulia maumivu.

vitu vingine ni akili yako tu. hivi kinyozi akikushika kichwa na kidevu unamtamani??

punguzeni mawazo hasi/ ya ovyo.
Unabisha bure tu hivi katika viungo vyenye hisia kichwa na kidevu unaviweka...labda unambie kama wewe hata wakikushika maeneo hupati hisia zozote, mana waxing inafanya kwa mikono hasa vidole ndo hutumika zaidi kunyofoa hizo nywele na kwa vyovyote vile lazma mkono uguse ngozi na sehemu zingine nyeti
 
Mafunzo kwa vitendo...
54f5987e9a03a43d92018ef0d118290e.jpg
Afu mtu anakwambia wananyofoa nywele tu,mwanaume ukishindwa mnyoa mkeo akienda huko ukiona hali inaanza badilika ndani ya nyumba usimtafute mchawi..hi haina tofauti sana na massaging watu wanapandishwa nyege zikipanda...
 
Afu mtu anakwambia wananyofoa nywele tu,mwanaume ukishindwa mnyoa mkeo akienda huko ukiona hali inaanza badilika ndani ya nyumba usimtafute mchawi..hi haina tofauti sana na massaging watu wanapandishwa nyege zikipanda...
Mi si ungi mkono Hoja mwanamke kwenda kunyolewa ktk masaloon bana
 
Haina madhara yoyote hiyo? We ndio unaitumia?
Naitumia kwa dharura lakini siipendi kwa mwaka labda mara 1 lakini most of the time natumia ile ya sukari,hii
nikitumia week2 nyingi nywele zinaota tena kwa kasi,lakini nzuri chukua jaribu sio mbaya...
 
Anasema kuwa kinena kilichonyolewa hukumbwa na hatari kubwa ya kupata maambukizi ya maradhi kama vile 'herpes’, kutokana na majeraha ambayo huwa wazi kwa virusi vinavyopatikana kwenye viungo vya uzazi.
Kulingana na Chris Hart, mshauri wa masuala ya mahusiano, suala la mahaba limewakanganya wengi kudhani kuwa nywele hizi huimarisha maisha haya.

“Mahaba ni suala la kisaikolojia. Kuna watu wanaofurahia nywele hizi ilhali kuna wengine ambao hisia zao za mahaba huamshwa na mazingira mepesi, kumaanisha kuwa hakuna kiwango kamili cha jinsi sehemu hii inavyopaswa kuwa,” aeleza

NB: Binafsi Huwa nanyoa but naacha kidogo

NILIPOFIKA HAPA NDO NIMEGUNDUA KUWA WEWE NI MUKE🙄
 
Naitumia kwa dharura lakini siipendi kwa mwaka labda mara 1 lakini most of the time natumia ile ya sukari,hii
nikitumia week2 nyingi nywele zinaota tena kwa kasi,lakini nzuri chukua jaribu sio mbaya...
INAITWAJE HIYO ? nataka niinunue nikaitumie kwa NGOZEE wangu asee!!
mana huwa natumia sabuni ya mbuni tu nampaka mapovu afu nakwangua hadi nakipata kipara saaaafi!!
 
INAITWAJE HIYO ? nataka niinunue nikaitumie kwa NGOZEE wangu asee!!
mana huwa natumia sabuni ya mbuni tu nampaka mapovu afu nakwangua hadi nakipata kipara saaaafi!!
Veet hair cream remover inakua kwenye tube kama ya dawa ya msuwaki,au kwenye kopo kiduchu,utania kaanayo 5-8 min
chukua kitaulo kitie maji ya vugu vugu halafu pangusa hiyo sehemu zitatoka na utapendeza.
 
Naitumia kwa dharura lakini siipendi kwa mwaka labda mara 1 lakini most of the time natumia ile ya sukari,hii
nikitumia week2 nyingi nywele zinaota tena kwa kasi,lakini nzuri chukua jaribu sio mbaya...
Yani hiyo ya sukari ndio hata picha nayo sina nabaki njia panda
 
Back
Top Bottom