KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Bado natafakari mwanamke anawezaje kwenda saloon kwa ajili ya kunyolewa nywele za sirini........???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji87] [emoji125] [emoji125]
Nahitaji hiyo saloon nianze kwenda kufanya wax, naomba unielekeze zilipoBado natafakari mwanamke anawezaje kwenda saloon kwa ajili ya kunyolewa nywele za sirini........???
Sema haki ya Mungu mpwa....kweli unataka uende mpwa....???Nahitaji hiyo saloon nianze kwenda kufanya wax, naomba unielekeze zilipo
enhee...sehemu za siri?
Weye tuu! lakini kwa mwanamme uvumilivu wenu mduchu sana mwanamke anaweza kustahmili mwanamme hawezi..Hii hata vijana wafanyiwa ama ni wadada
Kinaitwa kijogoo vijana wanaita kidukuInatakiwa mwanamke aache kama kipanki fulani hivi kwa juu....ambacho kitakuwa kama antena ya mawasiliano ya hisia.....
Vijana(dada+kaka)Hii hata vijana wafanyiwa ama ni wadada
Nyuma ya best bite ipo upande ea kulia nyumba kama ya nne ivi kutoka kona huwa naenda hapoNahitaji hiyo saloon nianze kwenda kufanya wax, naomba unielekeze zilipo
asee...!!enhee...
Eeh bana Gillette zimenichoshaSema haki ya Mungu mpwa....kweli unataka uende mpwa....???
Kwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???Eeh bana Gillette zimenichosha
Mwenyewe unakaonaje kale kamtindo mkuu...??Kinaitwa kijogoo vijana wanaita kiduku