Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mpwa anasaidiwa na watu wa saloon wanawake tuKwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa anasaidiwa na watu wa saloon wanawake tuKwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???
Mpwa kuna haja gani ya kuanika tupu zako kwa watu wasio na mamlaka ya hata kuiona nguo yako ya ndani...??Mpwa anasaidiwa na watu wa saloon wanawake tu
Una mawazo hasi.Kwanini usinunue hivyo vitendea kazi...ukanyolewe na mwenye mamlaka ya kuuona utupu wako.....???
aliyekwambia anaenda kushikwashikwa ni nani?ila atashikwashikwa na knembe anapandishwa hisia kila siku mwisho wa siku anatamani mambo mazuri ya saloon we unaanza jiuliza mbona kabadilika siku hizi huyu...
Hapana dada si kama nina mawazo hasi....bali najenga taswira ya mtu anayethamini tupu zake...tupu zetu ndio zimebeba utu wetu....na sio kila mtu anapaswa kuziona....sasa kama utakuwa unafanyiwa sijui hiyo waksi...na saloon mbali mbali utakuwa na staha gani mbele ya jamii....au ndio utamteua mmoja tu wa kukufanyia hivyo....??Una mawazo hasi.
hiyo ni kazi kama zingine. kama daktari au nesi.
na MTU anayeweza kujiwax mwenyewe simuamini na mtoto kabisaa. inahitaji roho
Waxing ya sukari unafanyaje?Kama unaweza kustahmili kiduchu basi fanya waxing ya sukari mwanzo utahisi inauma lakini ukisha zowea haiumi,ila nywele zina chelewa kuota wanafanya dar kuna saloon nyingi au kuna wadada wanakuja nyumbani kukufanyia kama unataka.
tupu zako ndo zimebeba utu wako? aiseeHapana dada si kama nina mawazo hasi....bali najenga taswira ya mtu anayethamini tupu zake...tupu zetu ndio zimebeba utu wetu....na sio kila mtu anapaswa kuziona....sasa kama utakuwa unafanyiwa sijui hiyo waksi...na saloon mbali mbali utakuwa na staha gani mbele ya jamii....au ndio utamteua mmoja tu wa kukufanyia hivyo....??
Ok.....dunia ni yako, chaguo ni lako....tupu zako ndo zimebeba utu wako? aisee
.
sioni ubaya wa utupu. sijui kwanini inaonwa kitu cha ajabu! unawajua maNudists? nikawe nudist kabisa. natamani siku dunia nzima tuwe manudists tu.
and yes Nina mtu mmoja anayenifanyiaga.
.
Kanavutia sana mtu wangu huwa namnyoa hivyoMwenyewe unakaonaje kale kamtindo mkuu...??
Dada angu hiyo kazi ndio ila haina tofauti na ile ya kufanyiwa masaji huwezi kunambia mtu anaishi kushika nywele tu ngozi asishike kwa sababu hiyo ishu inafanya kwa mikonoaliyekwambia anaenda kushikwashikwa ni nani?
na hisia zinakujaje wakati makumi ya nywele yanachomolewa kwa wakati mmoja?
hii ni kazi kama zingine na mtu akija na agenda zingine atafukuzwa.
unaweza kununua dukani ukajifanyia mwenyewe,lakini saloon bora zaidi manake wanafanya vizuri........Waxing ya sukari unafanyaje?
Mwenzio mie mshambaunaweza kununua dukani ukajifanyia mwenyewe,lakini saloon bora zaidi manake wanafanya vizuri........
massaging unaenda kushikwa na kurelax.Dada angu hiyo kazi ndio ila haina tofauti na ile ya kufanyiwa masaji huwezi kunambia mtu anaishi kushika nywele tu ngozi asishike kwa sababu hiyo ishu inafanya kwa mikono
Zinapatikana maduka gani? Au lolote
kama uko dar nenda kwa Msupuu yupo Kinondoni tel 0653328281 mwambie unataka Wax na karatasi zake zote kwa elfu 20Mwenzio mie mshamba
Nikifika dukani naulizaje sasa?
Zinapatikana maduka gani? Au lolote
Ooh niko Arusha mrembokama uko dar nenda kwa Msupuu yupo Kinondoni tel 0653328281 mwambie unataka Wax na karatasi zake zote kwa elfu 20
lakini nakushauri nenda saloon wakufanyie wanakua nazo kama unataka mtu wa saloon anakufata nyumbani anakufanyia..
Basi bora utumie wax ya Cream tuu ...pia sio mbaya ..Ooh niko Arusha mrembo
Okay ntamchek shukrani mamito0716501785
huyo nilimuonaga insta nikasave number. sijui anaitwa nani au yuko wapi. mcheck Yuko Whatsapp
Haina madhara yoyote hiyo? We ndio unaitumia?Basi bora utumie wax ya Cream tuu ...pia sio mbaya ..