Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wadada wa bongo bana, Utawasikia:
Wanaume wa siku hizi hambebekiiii hata mkibebwa mgongoni mnachana mbeleko"
Jamani kwani wanaume wa zamani wameishaa? Wapo wengi tuuu wakina Kingunge, Malechela, Mugabe, Museveni, Jangala.... watafute hao mbona unahangaika na sisi?
Wanaume wa siku hizi hambebekiiii hata mkibebwa mgongoni mnachana mbeleko"
Jamani kwani wanaume wa zamani wameishaa? Wapo wengi tuuu wakina Kingunge, Malechela, Mugabe, Museveni, Jangala.... watafute hao mbona unahangaika na sisi?