Wanawake punguzeni maringo

Single maza wa miaka 40 kila mtoto na baba yake na anaishi kota bado akukatae hahaha hatari sana

Ila mwanetu naye kwa nini ahangaike na single maza mshangazi wakati kuna vibinti vibichi kabisa
Jamaa povu limemtoka balaa naona alikataliwa na matusi juu alitukanwa maana si kwa maneno haya
 
Single mama gani tena huyo kakukataa?? Kweli wanaume mna hekaheka!! Ndio mjue wanawake siku hizi hawaendekezi ujinga. Hadi single maza mwenye umri mkubwa kakukataa 😂😂😂
Eti kwakuwa ni single mom ndio akubali kila aina ya dyudyu🤣🤣🤣
 
Una mambo yabkike sn jo. Si ajabu alijua akikubali utamtangaza
Una mambo ya kike sn, si ajabu alijua akikubali utamtangaza
 
sura hana,tako hana, njaaa kama Zote na bado anaringa sasa ngoja jamaaa yangu apite na mtoto wake.
 
haya
 
Sasa kilichokuumiza ni Nini mtu ni chake ameringa mwache Kuna mtu anayemfanya aringe wewe huingii Kwa huyo jamaa

Wewe imbisha Kwa yule anayekubali akikataa mwache

Mtu chake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…