Wanawake Punguzeni Mtatuua Jamani

Wanawake Punguzeni Mtatuua Jamani

KijanaHuru

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,822
Reaction score
2,320
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!

MUME: Amka twende jogging mke wangu?
1f60a.png

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?
1f612.png


MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.
1f62f.png

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
1f615.png


MUME: Basi yaishe endelea kulala
1f917.png

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
1f912.png


MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
1f627.png

MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
1f637.png

MUME: Jamani mi sijasema hilo
1f61e.png

MKE: Kwa hiyo mie muongo?

MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
1f623.png

MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
1f624.png


MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
1f635.png

MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
1f910.png


MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...

MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?

Wanawake Mungu anawaona
 
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!

MUME: Amka twende jogging mke wangu?
1f60a.png

MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?
1f612.png


MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.
1f62f.png

MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?
1f615.png


MUME: Basi yaishe endelea kulala
1f917.png

MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
1f912.png


MUME: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
1f627.png

MKE: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
1f637.png

MUME: Jamani mi sijasema hilo
1f61e.png

MKE: Kwa hiyo mie muongo?

MUME: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
1f623.png

MKE: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?
1f624.png


MUME: Sikia we lala mie naenda jogging.
1f635.png

MKE: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
1f910.png


MUME: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...

MUME: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
Mke: Kwahiyo ulikua unanijaribu?

Wanawake Mungu anawaona
Jamaa hakugegeda vilivyo usiku!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani badala ya kumuamsha ugonge menu unawaza jogging? kweli kwenye miti hakuna wajenzi...
 
Back
Top Bottom