Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
YeahAaah..mi mwenyewe miwigi miwigi kichwan kama mchawi sipendi...fuga nywele tu za asili
Maana tusiopaka Wala kuvaa wigs tupo wengi,hatuoni kweli?Waacheni na maisha yao. Ukiona unateseka na maisha ya wengine ujue wewe ndio una shida.
Nani mgonjwa anapenda hayo manyaunyau?Hahaha hahaha hahaha pole...wewe hupendi lkn wenzio wanapenda
Hawa ni wasumbufu tu, nimeacha kuwazingatia kabisa. Mimi nakata nywele ajabu nilipata mtu ananisumbua nisuke utadhani wanaosuka hawaoni.Maana tusiopaka Wala kuvaa wigs tupo wengi,hatuoni kweli?
🤣🤣🤣🤣 Ni washamba,hawajui wanataka nini...kinachowasumbua ni kujiona wao ndo wapo perfect SanaHawa ni wasumbufu tu nimeacha kuwazingatia kabisa. Mimi nakata nywele ajabu nilipata mtu ananisumbua nisuke utadhani wanaosuka hawaoni.
Principle yangu ni kwamba, Ukijipodoa nakuita MREMBO, usipojiweka "malangwisaaa" nitakuona MZURI!Wanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa