agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Kama wewe hupendi wenzio wanapenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoa mtazamo wake😀😀Naomba kujua kama huu ni msimamo wa wanaume wote
kuna baadhi ya watu waliumbwa ili kukera watu tuMsemaji wa maisha ya watu
Swadakta mkuukuna baadhi ya watu waliumbwa ili kukera watu tu
Alaaaaaa [emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mtu katoswa mida hii hii.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AhahhahahahahahaWanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watumiaji tumewaona
Ohooooooowanawake wavaa wigi 90% kichwani hamna kitu[emoji3]
Wanaongea kama chiriku
Mbona wanawake wasiopaka hivyo vitu wapo wengi sana? Kwanini usiwafuate hao?
Au huwa wanapaka baada ya wewe kuwa approach?
Kama hilo kwenye Avatar yako mkuuUnaongelea mawigi gani? Ya elfu 5 au ya laki nne
Ww nakuelewa sanaaa,,Hii vita ngoja nikae kuangalia mpambano tu.....
Mie hainihusu kabisaaa