Wanawake punguzeni uchafu huu mwilini unakera wanaume

Wanawake punguzeni uchafu huu mwilini unakera wanaume

Wanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa

Ila sema yanakusaidiaga kukuweka vizuri maana nywele zako za kipilipili kichaa bila mawigi ungefanana na cowboy
 
Wanawake wengi mjini ni wachafu kupindukia na sisi Wanaume tunawaona jinsi mnavyohangaika kujichafua ili tuwapende,mi nataka Muke tu kuwa sisi Wanaume tunaakili hatuwezi kuvutiwa na uchafu Bali tunavutiwa na Usafi wa mwanamke, Wanaojua definition ya uchafu watatuelewesha,

Nmezunguka Tanzania na vitongoji vyake vyote wanawake wengi wanashida hii ya uchafu sijui wanakwama wapi? ....

Mawigi hayawapendezi, mawigi ni mizigo kama vichaka vichwani,mawigi yananuka vibaya tunawavumilia tuu, Powder sasa usoni sijui ndo mnanitafutia makeup mtu anabadilika sura anageuka kuwa jini
Lipstick na marangi ya midomoni hayanajipya mnatupa kansa tuu coz unakuja unataka mate ww mdomo umeuchafua tunateseka ni sisi Wanaume

Siku hizi najikuta navutiwa na mwonekano wa wanafunzi wa kike Ila wale ni nyara za serikali jmn tusitafutiane matatizo.Acheni uchafu km Wewe ni sura mbaya ebu ridhika tuu na sura yako wapo watakaokupenda hivohivo
Km imewatouch am sorry nilikuwa nawaza tuu kwa sauti
Naam
 
Fekero nyingi sana kwa mademu.

-Nywele feki asipoweka wigi ataweka brazilia ,peruvian hair yote feki
-Kucha feki
-rangi ya mdomo feki
-Nyusi feki
-Rangi ya ngozi feki
-Meno feki amepaka chokaa/gypsum
-Macho feki ameweka brown eyes
 
Back
Top Bottom