Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Binafsi nampenda sana mwanamke anayenyoaWanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi nampenda sana mwanamke anayenyoaWanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa
😂 😂 😂 😂 😂nyara za serikali
[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mwinjaku wamekusikia
Wanaume hamueleweki ukijipodoa anakusifia kumbe moyoni hampendi aah Nashukuru mm sipendagi hayo malangwisaaa
kabisa lohKuna mtu katoswa mida hii hii.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah..mi mwenyewe miwigi miwigi kichwan kama mchawi sipendi...fuga nywele tu za asili
Sawa mwinjaku wamekusikia
Naunga mkono hojawanawake wavaa wigi 90% kichwani hamna kitu[emoji3]
Wanaongea kama chiriku
Leo kila mwanaume anachukia mawigi
NaamWanawake wengi mjini ni wachafu kupindukia na sisi Wanaume tunawaona jinsi mnavyohangaika kujichafua ili tuwapende,mi nataka Muke tu kuwa sisi Wanaume tunaakili hatuwezi kuvutiwa na uchafu Bali tunavutiwa na Usafi wa mwanamke, Wanaojua definition ya uchafu watatuelewesha,
Nmezunguka Tanzania na vitongoji vyake vyote wanawake wengi wanashida hii ya uchafu sijui wanakwama wapi? ....
Mawigi hayawapendezi, mawigi ni mizigo kama vichaka vichwani,mawigi yananuka vibaya tunawavumilia tuu, Powder sasa usoni sijui ndo mnanitafutia makeup mtu anabadilika sura anageuka kuwa jini
Lipstick na marangi ya midomoni hayanajipya mnatupa kansa tuu coz unakuja unataka mate ww mdomo umeuchafua tunateseka ni sisi Wanaume
Siku hizi najikuta navutiwa na mwonekano wa wanafunzi wa kike Ila wale ni nyara za serikali jmn tusitafutiane matatizo.Acheni uchafu km Wewe ni sura mbaya ebu ridhika tuu na sura yako wapo watakaokupenda hivohivo
Km imewatouch am sorry nilikuwa nawaza tuu kwa sauti
sawa mtoa mada lakini cha ajabu wanaume hao hao wanaosema sipendi mawigi napenda natural girl ndo wa kwanza kuwapita natural girls na kuwakimbilia wa mawigi
Mbona wanawake wasiopaka hivyo vitu wapo wengi sana? Kwanini usiwafuate hao?
Au huwa wanapaka baada ya wewe kuwa approach?
WANAWAKE WA KISASA NDIO ZAO
wanawake wavaa wigi 90% kichwani hamna kitu[emoji3]
Wanaongea kama chiriku