mkuu kwa zama hizi ke mwenye age hiyo kama amejiheshim sana anakua kishatembea na me 10+Kamtoa bk mtu 1 at the age of 20 labda wakadumu 3yrs akapumzika 1yr akadate 3yrs tena wakaachana
Ss unashangaa nn kuna watu hawana nyeti za promosheni mkuu usishangae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamtoa bk mtu 1 at the age of 20 labda wakadumu 3yrs akapumzika 1yr akadate 3yrs tena wakaachana
Ss unashangaa nn kuna watu hawana nyeti za promosheni mkuu usishangae
Aache kulalamika eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu maswali mengine ni mtego ili umjue yupojeNawe unaulizaje swali la ki-wack kama hilo?
mkuu hebu vaa uhusika kisha ujibu hilo swaliMimi nataka uamini kua inawezekana sana
Alikujibu kutokana na upopoma wako. Na kwa miswali hiyo usingempata atakuona wewe boya tu.natumai hamjambo wakuu
jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali bt alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.
Mkuu hilo swali ni la mtego kwa ke, ni rahisi sana kumjua ni wa aina gani kupitia swali hiloUlitaka akuambie kadate nao 50 ndo uridhike....Yafaa kabla ya yote uonane na daktari kwanza.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kasema ukweli wasizidi watano idadi yetu hiyo
Sasa mzee unataka kujia waliodet nae ili uwaajiri aunatumai hamjambo wakuu
jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali bt alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.
haya nijibuMm ntavaa uhusika na ntakujibu usijali