mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Natumai hamjambo wakuu
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
Niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.
Bk inatolewa at the age of 13 yearsKamtoa bk mtu 1 at the age of 20 labda wakadumu 3yrs akapumzika 1yr akadate 3yrs tena wakaachana
Sasa unashangaa nini kuna watu hawana nyeti za promosheni mkuu usishangae
Ulikuwepo?!Bk inatolewa at the age of 13 years
Eti akasombo dam[emoji3][emoji3], hainaga makombo hiyo na ni elastic material mkuu, kitu mpyaa kasoro makaratasi[emoji3]Tunataka tujue ili tujue tunafanyaje. Tukianza mechi tukabe na kushambulia kwa kushtukiza au tupaki basi kama ni akasombo dam
Eti akasombo dam[emoji3][emoji3], hainaga makombo hiyo na ni elastic material mkuu, kitu mpyaa kasoro makaratasi[emoji3]
Wewe upo kwenye kundi lipi ?Kamtoa bk mtu 1 at the age of 20 labda wakadumu 3yrs akapumzika 1yr akadate 3yrs tena wakaachana
Sasa unashangaa nini kuna watu hawana nyeti za promosheni mkuu usishangae
Hamna bana kuna watu hawapendi kutumika hovyoa akikwambia 1 or 2 jua ni hivo kweli, usigeneralize mkuumkuu hili swali hua ni mtego kumjua ke alivo, akijibu 3+ huyo angalau bt akijibu 1 or 2 ujue hapo hamna kitu
Duh[emoji3][emoji3], uoga tu elastic material inaenda na beat lkn, no kibamia wala kibathousanHahahha hapana mkuu sisi wenye vibahandred lazima tushake well before use
Hamna bana kuna watu hawapendi kutumika hovyoa akikwambia 1 or 2 jua ni hivo kweli, usigeneralize mkuu
Duh[emoji3][emoji3], uoga tu elastic material inaenda na beat lkn, no kibamia wala kibathousan
Shida ako nin sasa, kama ulitaka kumtongoza ilikuwa haina haja ya kumuuliza mtu kuhusu previous relationship zakeNatumai hamjambo wakuu
Jana nikiwa katika harakati zangu za hapa na pale nilikutana na dada mmoja matata wa age ya 27-30, nikawa nimemwelewa sana nikaomba tubadilishane contact akakubali but alikuja nitibua nilipomuuliza ushadate na wangapi eti kwa umri huo ananijbu wawili, dah! alinikata stim kabisa hadi nikagairisha mtongoza.
Niwaase wadada mpunguze uongo usio na tija coz kuna nyakati mtakuja chezea bahati mkachengana na magari ya mishahara.