BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
wanawake unawajua unawasikia? umueleze mishemishe zako ili iweje? hujawahi kusikia mke aliyemlipua mmewe polisi jamaa akaishia segerea?
Kumbe nyie hamuaminiani!!, Ndio mana mkeo kafanya hivyo!!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanawake unawajua unawasikia? umueleze mishemishe zako ili iweje? hujawahi kusikia mke aliyemlipua mmewe polisi jamaa akaishia segerea?
we mwache....hanijui.
Good one, kama mko close ni lazima atajua kinachoendelea na kuwa supportive!
Hi Kaunga!!. We unamwamini mumeo!. mnaaminiana!!.
sioni tatizo mke kujua assets zangu,kwanza ni vizuri,lakini mishemishe za mjini napataje hela,napitia kona gani,viunzi gani naruka,hiyo simwambii,wanawake hawana muamana bana.sasa unaficha, siku ukifa nani atarithi?
Na atajua unamiliki nini na nini na viko wapi?
Kama humuamini kiasi hiki bora nioe mie tu.
umepinda wewe!
sioni tatizo mke kujua assets zangu,kwanza ni vizuri,lakini mishemishe za mjini napataje hela,napitia kona gani,viunzi gani naruka,hiyo simwambii,wanawake hawana muamana bana.
nikuoe wewe nipate wazimu,mtu mwenyewe mgomvi ka nini!
Mzee mwenzangu Bishanga huyo mwanamke atakuwa alishitukia tone of voice ya mume, maana inawezekana haikuwa ya kikazi zaidi, bali mahaba........
Chezea wanawake weye, wana saikolojia ya hali ya juu, japo hawana vyeti vya taaluma hiyo................LOL
ushapitia unyago wewe?
ha ha ha, pole bishanga.
Unaona sasa mkeo kakuruka kama kiunzi kaenda kutua kwa mama wa watu huko TRA?
Na wale wamama walivyo wanene afu wamekaa ki bibi titi mohamedi umemtesa sana.
Jumatatu nenda angalau umambusu tu.
halafu we konnie wewe ujue mwenzio nna presha mbaya.
mzushi tu bana,maongezi yalikuwa ni ya kikazi.
nakusubiri siku vya kwako vikibambaruka uje kulia hapa,ndo utanijua siku hiyo....hata chembe ya sympathy..kha!