wanawake sa ingine mnajifedhehesha!


Pole mpiganaji ndowa inataka subira!
 
Hivi unafikiri wanawake hawana akili eeeh.. Au kwa sababu wanakaa kimya kwa kuwaogopa basi unajua hawaelewi kinachoendelea.

Mimi mke wangu hapokei simu yangu, wala mm sipokei yake, tunaaimiana, ila anasema siku ya kuja kumfuma huyo mwizi wa mali zake ndipo atakapoamua cha kufanya. Kwa kazi mm ni mfanyabishara yeye ni mtumishi wa umma, kila mtu ana wadau wake sasa mkianza wivu hapo huyu atamwaga ugali yule atamwaga mboga.

Hayo tena si maisha ya ndoa.
 
Mtambuzi umenena hapo ukute Bishanga alikuwa anaongea kwa sauti flani hivi ambayo bi mkubwa akawa anasikilizia ila approach aliyotumia mke si nzuri kwani alitakiwa ku deal na mume wake na si yule mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Umeni miss eh?
 

BADILI TABIA,una akili sana wewe!
 
Last edited by a moderator:
hilo nalo neno kongosho....
Au bishanga ana small hausi zake mkewe anazisaka? Dhahama imemuangukia bibi wa tra? Haiwezekani mkewe akurupuke tu kama hakukuwa na 'mazingira ' yasiyoeleweka.....z
BT na wewe unachukua akili za shankumpempe kongosho?
 
Pole bishanga, inawezekana hukujijengea uaminifu kwa mkeo tangu awali, humu jf tu pia huaminiki(joke). Jifunze kumshirikisha mkeo hizo mambo yako hata kama si kwa kumtaka ushauri hata kwa kujiongelesha pia si vibaya.

Cathy,@apsrin hajambo?
 
Mkeo hawezi kukudoubt tu from no where bila sababu! Kuna mazingira fulani umeyajenga kiasi cha kumfanya mkeo ashindwe kujiamini..japokua mkeo amefanya approach ambayo sio nzuri lakini na wewe unapaswa kurekebisha nyendo zako Bishanga
 
Last edited by a moderator:

Papaa Bishanga mutu mukubwa,mutu ya ndizi pole sana okusanga nini? mawasiliano muhimu katika ngazi yoyote ya mahusiano kufichaficha ishuu zako kumesababisha ahisi una mahawara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…