Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Bora kuwa mcha Mungu kwa ukweli,utaepuka mambo haya;Kina mama tuishi nao kwa Akili!Niny watu mnatakiwa muishi dunia yenu peke yenu kijana wa watu kalizwa uko unabeba vitu unaenda navyo wapi kwanini usitafute vyako tusinyonyane
View attachment 3227748
Huyu mwingine kagundua style mpya ya kusaka mende au panya uvunguni π€£π€£π
View attachment 3227749
mtaka cha uvunguni huyo πKuna kuingia hadi uvunguni tena
Iyo kwa wale wakwepa kodiKuna kuingia hadi uvunguni tenaπ€ππ
Hatari kabisaNoma sana
Watu hawatak kulipa kodiBora kuwa mcha Mungu kwa ukweli,utaepuka mambo haya;Kina mama tuishi nao kwa Akili!
Mgunduzi wa style ya kutolipa kodiWalitakiwa wamtoe baba mwenye nyumba kimya kimya, then wamshughulikie vizuri huyo aliezamisha kichwa uvunguni.
Mambo ya ajabu sana!Mgunduzi wa style ya kutolipa kodi
Wanaume sisi wazaifuMambo ya ajabu sana!
Kwakweli sharti ainame π€mtaka chauvunguni huyo π
Nyie watu watunduKwakweli sharti ainame π€
Mtavunja mgongoKumbe mkisema tubinuke inabidi tuingie chini ya uvungu π , haya ngoja tuchukie notes π
Sana mkuu,jamaa yangu Mmoja ni injia alikuwa mtu wa kinywaji sana, Jamaa zake wakawa hawampi Dili kwa ulevi, mwanamke wake nae akamtosa kwa kumdhalilsha mbele za watu Bar kwamba anaiba mawigi kwa kubadilishana na kilaji!Hee Jamaa akaapa hatokaa akamrudia.Mara jamaa akaacha Pombe washikaji ,wakaanza kumpa Dili,hela ikarudi mahala pake mfukoni,karudi Tena kwa baby wa mawigi! HATARI!!!Wanaume sisi wazaifu
Sio yeye uyo ππSana mkuu,jamaa yangu Mmoja ni injia alikuwa mtu wa kinywaji sana, Jamaa zake wakawa hawampi Dili kwa ulevi, mwanamke wake nae akamtosa kwa kumdhalilsha mbele za watu Bar kwamba anaiba mawigi kwa kubadilishana na kilaji!Hee Jamaa akaapa hatokaa akamrudia.Mara jamaa akaacha Pombe washikaji ,wakaanza kumpa Dili,hela ikarudi mahala pake mfukoni,karudi Tena kwa baby wa mawigi! HATARI!!!