Wanawake shikamoo

Wanawake shikamoo

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Ninyi watu mnatakiwa muishi dunia yenu peke yenu kijana wa watu kalizwa uko unabeba vitu unaenda navyo wapi kwanini usitafute vyako tusinyonyane

1738927524444.jpeg



Huyu mwingine kagundua style mpya ya kusaka mende au panya uvunguni 🤣🤣🙌

1738927595446.jpeg
 
Wanaume sisi wazaifu
Sana mkuu,jamaa yangu Mmoja ni injia alikuwa mtu wa kinywaji sana, Jamaa zake wakawa hawampi Dili kwa ulevi, mwanamke wake nae akamtosa kwa kumdhalilsha mbele za watu Bar kwamba anaiba mawigi kwa kubadilishana na kilaji!Hee Jamaa akaapa hatokaa akamrudia.Mara jamaa akaacha Pombe washikaji ,wakaanza kumpa Dili,hela ikarudi mahala pake mfukoni,karudi Tena kwa baby wa mawigi! HATARI!!!
 
Sana mkuu,jamaa yangu Mmoja ni injia alikuwa mtu wa kinywaji sana, Jamaa zake wakawa hawampi Dili kwa ulevi, mwanamke wake nae akamtosa kwa kumdhalilsha mbele za watu Bar kwamba anaiba mawigi kwa kubadilishana na kilaji!Hee Jamaa akaapa hatokaa akamrudia.Mara jamaa akaacha Pombe washikaji ,wakaanza kumpa Dili,hela ikarudi mahala pake mfukoni,karudi Tena kwa baby wa mawigi! HATARI!!!
Sio yeye uyo 😂😂
 
Back
Top Bottom