Wanawake shikamoo

Muishi na wanawake mliowaoa sio okota okota, si mnajidai kataa ndoa, acha unyooshwe, halafu bila aibu unamuuliza huyo mtumishi zinaa ajabu, Rafiki jipange uoe si vinginevyo na inawezekana hata kwao hupajui.
 
Naomba nipange kwako Gran Pah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mzee alivyoropoka ni hatari na nusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kichwa kinaingia uvunguni uno linakuwa juu kama unatafuta panya πŸ˜‚
Hahahaha πŸ˜‚ πŸ˜‚ Jamaniiii ziwekwe voice humu watu tucheke kwa sauti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…