Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kielewek sio πNitampa ya Dirishani π π π π π kichwa kikiwa nje nasalimia majirani π
Dunia ina style hii π π ndo maana kesi za wapenzi kufia vyumbani ni nyingi mno π π π π kumchosha tu MutafungwaMpaka kielewek sio π
Hahah,. Ngoja kwanzaHii ya kuombea mtaji wa Milioni miamoja Dadeki π π π π nilijua nimesikia vyote duniani.
Kwani mnalazimishwa si tunasikia tu mnatuambia ngoja nikae stayle hii mguu juu ya kiti utakataaa ππ kufungwa noDunia ina style hii π π ndo maana kesi za wapenzi kufia vyumbani ni nyingi mno π π π π kumchosha tu Mutafungwa
em elekeza kama nilivyokuulizaKichwa kinaingia uvunguni uno linakuwa juu kama unatafuta panya π
Huwa unatoa wapi hizi?π€£Zulu man Grahams wazee wenye nyumba wanawake wamegundua style ya wao kutowalipa kodi zenu za nyumba kuweni makini MENEMENE TEKERI NA PERESI
Unashuka chini kwenye sakafu theni kichwa kinaingia uvunguniem elekeza kama nilivyokuuliza
Duniani ukoHuwa unatoa wapi hizi?π€£
Ngoja nitulie vizuri nitoe ya moyoni na kwa ubongoDuniani uko
Tulia bhna acha mapepeNgoja nitulie vizuri nitoe ya moyoni na kwa ubongo
Kwani na wewe umepanga? Naona unaifanyia mazoezi hiyo style ya mkwepa kodi kwa bidii.Serious kichwa hakiendi kabisa
Sijui mkuu mm natumia iphone hainaga hizo mamboNje ya mada, mkuu hiyo font style gani kwenye hizo jumbe za juu?
Et style ya mkwepa kodi ππKwani na wewe umepanga? Naona unaifanyia mazoezi hiyo style ya mkwepa kodi kwa bidii.
Sawa mkuu tushajua ni iphone userSijui mkuu mm natumia iphone hainaga hizo mambo
ππ ila sawa nitafanyejeSawa mkuu tushajua ni iphone user