Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
πMama mijengo wanashangaa kumbe kuna kuingia uvunguni na kwenye vikao hakuna update ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πMama mijengo wanashangaa kumbe kuna kuingia uvunguni na kwenye vikao hakuna update ππππ
Style gani tenamzabzab hii style haikufai
Beba chajiππ ila sawa nitafanyeje
kumbe ni hio, nishaijua hioooUnashuka chini kwenye sakafu theni kichwa kinaingia uvunguni
π«‘mkuu hebu uache kutumia muda mwingi kusoma hizi stori,
mbona kama ni za kijinga sana?
na zina mlengo wa umri fulani ambao nina uhakika wewe umeshavuka.
uliza wanaume wenzako wa rika lako kama wanasoma hayo madude.
Niko nayo karibu kabisaBeba chaji
Wakongwekumbe ni hio, nishaijua hiooo
Soma hapo juu vzrStyle gani tena
Ndio mambo yenu hayo πNiko nayo karibu kabisa
Ukifika sehemu kuna umeme una shukuru sana na kuomba mtu akuwekee cm chajiNdio mambo yenu hayo π
Hiyo style mpk kwa mamlaka ya mapato Tanzania inakubalika?? πΉ
Ahah kabisaHiyo style mpk kwa mamlaka ya mapato Tanzania inakubalika?? πΉ
Style gani hiyo wakuuNgoja nikusaidie kumtag ,mzabzab
kichwa inaingizwa uvunguni mkuu we unabaki kushikria uno unakomaa naloStyle gani hiyo wakuu