Wanawake shikamoo

Wanawake shikamoo

KUnae watu hawalipi kodi na hawatuambii,. Sijapendaa🤒🤒😂
Leo shangilia basi, umeambiwa maujanja ya kukwepa kodi. Yaani kichwa ndani ya uvungu, mbwanda ànaachiwa mdai kodi ahangaike nalo, maisha haya ni kwa hisani ya uçhaguzi Chadema.
 
Leo shangilia basi, umeambiwa maujanja ya kukwepa kodi. Yaani kichwa ndani ya uvungu, mbwanda ànaachiwa mdai kodi ahangaike nalo, maisha haya ni kwa hisani ya uçhaguzi Chadema.
Hahah😂😂😂😂😂,. Mie nahisi ataniachia nyumba kabisa maana nataka nikaingie hadi chini ya meza
 
Zulu man Grahams wazee wenye nyumba wanawake wamegundua style ya wao kutowalipa kodi zenu za nyumba kuweni makini MENEMENE TEKERI NA PERESI
Hahaha...........kwangu nimeweka utaratibu, hela za Kodi anapokea Bibi yenu

Mimi Sina direct interaction na Wapangaji, nakwepa mitego ya hao Wapangaji mabinti

Kuna mmoja alipangiwa Chumba na Jamaa fulani, baada ya muda akamfumania, kwahiyo Mwanaume akasitisha kumlipia Kodi.

Baada ya kupitisha Siku 11 bila kulipa Kodi nikamwambia Bibi yenu akamwondoe 😜
 
Mmh hiyo staili yakushuka chini ya kitanda nakuingia uvunguni mpyaa,Lamomy embu njoo nielekeze nisije kukuangusha kungwi wangu
 
Hahaha...........kwangu nimeweka utaratibu, hela za Kodi anapokea Bibi yenu

Mimi Sina direct interaction na Wapangaji, nakwepa mitego ya hao Wapangaji mabinti

Kuna mmoja alipangiwa Chumba na Jamaa fulani, baada ya muda akamfumania, kwahiyo Mwanaume akasitisha kumlipia Kodi.

Baada ya kupitisha Siku 11 bila kulipa Kodi nikamwambia Bibi yenu akamwondoe 😜
atacama kodi anapokea bibi,wew utatoa yako ya mfukoni umpe akamlipe bibi
 
Back
Top Bottom