Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna watu wazinzi dunia hii kama watu wajiitao wacha Mungu, ni wasanii tu wa din wamtaniao Mungui, hawana lolote la maana. Ogopa sana hawa watu.Bora kuwa mcha Mungu kwa ukweli,utaepuka mambo haya;Kina mama tuishi nao kwa Akili!
Sio wote hata Sodoma na Gomorrah walikuwepo!Hakuna watu wazinzi dunia hii kama watu wajiitao wacha Mungu, ni wasanii tu wa din wamtaniao Mungui, hawana lolote la maana. Ogopa sana hawa watu.
Bisha lakini asilimia kubwa ya wacha Mungu ni wazinzi, never trust kiongozi yoyote wa dini, utalostika. Angalia wasanii wa kutomba wake wa waumini wao, ni viongozi wa dini. Waimbaji kwaya makanisani wanakulana wenyewe kwa wenyewe na ni wanafiki kishenzi. Wachawi wakubwa ni mashehe na maustadh na wote hawa ni viongozi wa dini wanao aminiwa.Sio wote hata Sodoma na Gomorrah walikuwepo!
Sibishi Wala sikatai,ila waamunifu wapo!Bisha lakini asilimia kubwa ya wacha Mungu ni wazinzi, never trust kiongozi yoyote wa dini, utalostika. Angalia wasanii wa kutomba wake wa waumini wao, ni viongozi wa dini. Waimbaji kwaya makanisani wanakulana wenyewe kwa wenyewe na ni wanafiki kishenzi. Wachawi wakubwa ni mashehe na maustadh na wote hawa ni viongozi wa dini wanao aminiwa.
Wachache mnoSibishi Wala sikatai,ila waamunifu wapo!
nitapata laana bure kuchungulia uchi wa mzeeSasa una kwama wapi
sijichoshi mimi,nisije vunjika nyonga bureeUjaribu zvr usije chomwa na misumar
SijuiAhah kuna nini kingine ambach mm sijui embu nijuze 🤔
Ahahah umegoma kunisaidia watu wa usafiSijui
Wapo kitetoAhahah umegoma kunisaidia watu wa usafi
Haya bhnaWapo kiteto
Nguvu zenyewe zipo basi, Babu yenu nimezeeka mjue 🤗Ahahah ukutaka kwenda akupe za uvungi
Ahahah ………..azeeeki mainiNguvu zenyewe zipo basi, Babu yenu nimezeeka mjue 🤗
😅😅😅Ahahah ………..azeeeki maini
Kwhy jipinde 😂
😹😹😹 Hiyo ya zamani achana nayo..!!Mmh hiyo staili yakushuka chini ya kitanda nakuingia uvunguni mpyaa,Lamomy embu njoo nielekeze nisije kukuangusha kungwi wangu
NomaNinyi watu mnatakiwa muishi dunia yenu peke yenu kijana wa watu kalizwa uko unabeba vitu unaenda navyo wapi kwanini usitafute vyako tusinyonyane
View attachment 3227748
Huyu mwingine kagundua style mpya ya kusaka mende au panya uvunguni 🤣🤣🙌
View attachment 3227749