kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaanihahahaha ameheshimu mkataba wenu! tehe tehe tehe (
Beib Wangu Meddy ile 10,000/= niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 2 ...) hahahahahahahahaahahahhahahaha
ulimrudishia?😉kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani
weee alinitongoza bure?ulimrudishia?😉
Kwani papuchi ulikuwa umeshampa?.. Tuanzie hapokuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani
hahahahahhaweee alinitongoza bure?
Unauza kutongozwa?weee alinitongoza bure?
Kutongoza kumbe kuna application feeweee alinitongoza bure?
Unauza kutongozwa?
Kwani kosa lake ni lipi?Hahahahha manina! Hao ndo wanawake
Ulitaka achanganye mpenzi na pesa?kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani
unajua maana ya kutongozwa?Kwani papuchi ulikuwa umeshampa?.. Tuanzie hapo
kwa mabazazi yanayotaka shortcut za maisha mtu ana mke ananifata wa nini?Kutongoza kumbe kuna application fee
ndioUnauza kutongozwa?
Sasa kama kutongoza tu.. Unataka usilipe deni! Aisee ningekuwa mimi ungelipa na riba juuunajua maana ya kutongozwa?
akinidai namwambia mkeweSasa kama kutongoza tu.. Unataka usilipe deni! Aisee ningekuwa mimi ungelipa na riba juu