Wanawake sio watu wamchezo kabisa

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
909
Reaction score
1,717
Kuna siku nilifulia ile mbayaaaa kipesa nikaamua kumuomba Demu wangu aniazime 10,000/= akanipa...

Baada ya siku mbili / tatu nikapata zali la pesa zaidi ya laki 4 hivi , ( NILIBET ) Nikaamua kumpa 100,000/= Demu wangu bila yeye kuniomba na nilimwambia hiyo afanyie mambo yake madogomadogo...

Baada ya siku 4 akaja kuniambia :- Beib Wangu Meddy ile 10,000/= niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 2 ...

SASA HIVI NIPO ZANGU SINGLE , SIPENDAGI UJINGA MIE ...
 
hahahaha ameheshimu mkataba wenu! tehe tehe tehe (
Beib Wangu Meddy ile 10,000/= niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 2 ...) hahahahahahahahaahahahhahahaha
kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani
 
kuna jamaa alinitongoza nikamuomba anikopeshe elf 30 nitamlipa mwisho wa mwezi akanipa eti mwisho wa mwezi akaanza kunidai kweli loh nilishangaa sana yaani
Kwani papuchi ulikuwa umeshampa?.. Tuanzie hapo
 
Tatizo lako ulitaka kulazimisha pesa ulio mpa ya mahitaji,, ndio iwe sehemu ya malipo ya deni.
This is impossible....[emoji16] [emoji16], Dawa ya deni ni kulipa...[emoji135] [emoji135]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…