Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
naona unajipigia pande Kali mzee
We ntaje tu sio kesi
Mtaje isiwe shida ili na yeye ajue wazi..
Yap, umeona hilo jina lakini, linaendana na majina ya kike yote mazuri kuanzia A - Z kama vilenaona unajipigia pande Kali mzee
Sawa atajulikana tuNaogopa kumtaja
Hilo halizidi langu mzee. Limekaa kinyamwezi ile mbayaaYap, umeona hilo jina lakini, linaendana na majina ya kike yote mazuri kuanzia A - Z kama vile
CA, CB, CC, CD, CE, CF, CG, CH, CI, CJ, CK, CL, CM, CN, CO, CP, CQ, CR, CS, CT, CU, CV, CW, CX, CY, CZ.
α΄Έα΅α΅α΅βΏα΅α΅Κ³ΚΈ [emoji377]
Ha ha ha ha huyu Naniliu mpka aje hapa uzi utakua na post elf kenda[emoji23][emoji23][emoji23] we subiri atakutaja naniliu
Ha ha ha ha huyu Naniliu mpka aje hapa uzi utakua na post elf kenda
DSM men bhana unataka manzi apende id name ako acheni ureeebasi tutajie na majina mengine unayoyakubali tu ukiachana na hilo moja pendwa..
soma uelewe mkuuKwani wewe ni lipi unalopendezwa nalo,maana lazima utoe mfano ili watiririke otherwise bandiko lako hujalitendea haki!
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk