Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PM tafadhali kama uko serious.
Sio kwamba naogopa, naomba ujue kuwa sio vyema kuweka namba kweupe.Sasa unaogopa nini kuweka no yako hapa, huoni itasaidia kupata wengi wa kuchaRt nao!
Halafu hujasema nakuliwaza kwa sh ngapi; maana mimi si mpweke na sihitaji kuliwazwa, n doing a favor for free while haifai. You need to pay for my time and airtime!
Sio kwamba naogopa, naomba ujue kuwa sio vyema kuweka namba kweupe.
Uko kifedha zaidi .... we endelea na mambo mengine - shakuwa na uamuzi mwingine wa kwenda kukata kiu.
Mtambuzi, umeambiwa huku ni wanawake tu, wewe unatafuta nini? Au na wewe ni kati ya wale wanaosaka kuliwazwa??Subiri watakuja hivi punde usije ukakimbia tu..............
Niko mpweke; nahitaji mwanamke wa kuniliwaza hata kwa kuchart kwa SMS;
lol! no free lunch in this world huh!?Sasa unaogopa nini kuweka no yako hapa, huoni itasaidia kupata wengi wa kuchaRt nao!
Halafu hujasema nakuliwaza kwa sh ngapi; maana mimi si mpweke na sihitaji kuliwazwa, n doing a favor for free while haifai. You need to pay for my time and airtime!
Siku zote zingine huwa anakuliwaza nani, na kwa nini asiendelee kukuliwaza? Samahani sisi tunao wetu tayari wa kuliwazana nao.
Hapo kwenye gharama za maliwazo Kaunga. Mie najitolea for free, ila nataka simu ya nokia lumnia yenye postpaid airtime walau ya laki unusu kwa mwezi.