Wanawake tu... Tafadhalini soma ....

Wanawake tu... Tafadhalini soma ....

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,598
Niko mpweke; nahitaji mwanamke wa kuniliwaza hata kwa kuchart kwa SMS;
 
Subiri watakuja hivi punde usije ukakimbia tu..............

Mkuu naona hawatokei; naenda zangu Golden Rocky - Nyakato Buzuruga (jijini Mwanza) nikaanze kubugia bia!
 
PM tafadhali kama uko serious.

Sasa unaogopa nini kuweka no yako hapa, huoni itasaidia kupata wengi wa kuchaRt nao!

Halafu hujasema nakuliwaza kwa sh ngapi; maana mimi si mpweke na sihitaji kuliwazwa, n doing a favor for free while haifai. You need to pay for my time and airtime!
 
Sasa unaogopa nini kuweka no yako hapa, huoni itasaidia kupata wengi wa kuchaRt nao!

Halafu hujasema nakuliwaza kwa sh ngapi; maana mimi si mpweke na sihitaji kuliwazwa, n doing a favor for free while haifai. You need to pay for my time and airtime!
Sio kwamba naogopa, naomba ujue kuwa sio vyema kuweka namba kweupe.

Uko kifedha zaidi .... we endelea na mambo mengine - shakuwa na uamuzi mwingine wa kwenda kukata kiu.
 
Sio kwamba naogopa, naomba ujue kuwa sio vyema kuweka namba kweupe.

Uko kifedha zaidi .... we endelea na mambo mengine - shakuwa na uamuzi mwingine wa kwenda kukata kiu.

Hahaha, hiyo pesa ya beer si ndio ungenilipa kukuliwaza kwa Text message?
Beer si nzuri kiafya you know that; while chatting haina madhara kiafya. LOL
 
Hapo kwenye gharama za maliwazo Kaunga. Mie najitolea for free, ila nataka simu ya nokia lumnia yenye postpaid airtime walau ya laki unusu kwa mwezi.
 
Last edited by a moderator:
Siku zote zingine huwa anakuliwaza nani, na kwa nini asiendelee kukuliwaza? Samahani sisi tunao wetu tayari wa kuliwazana nao.
 
Hahaha, hiyo pesa ya beer si ndio ungenilipa kukuliwaza kwa Text message?
Beer si nzuri kiafya you know that; while chatting haina madhara kiafya. LOL

Umri wangu unanitosha kunywa bia - niko over 18 yrs bibie
 
Mtambuzi, umeambiwa huku ni wanawake tu, wewe unatafuta nini? Au na wewe ni kati ya wale wanaosaka kuliwazwa??

Mtambuzi naye anaonekana ana tatizo kama la kwangu! Mliwazeni na yeye bajameni.
 
Niko mpweke; nahitaji mwanamke wa kuniliwaza hata kwa kuchart kwa SMS;

mkuu Tutor B hivi wewe huna mke?
halafu taja na sehemu ulipo watajitokeza tu.


Sasa unaogopa nini kuweka no yako hapa, huoni itasaidia kupata wengi wa kuchaRt nao!

Halafu hujasema nakuliwaza kwa sh ngapi; maana mimi si mpweke na sihitaji kuliwazwa, n doing a favor for free while haifai. You need to pay for my time and airtime!
lol! no free lunch in this world huh!?
 
Last edited by a moderator:
Siku zote zingine huwa anakuliwaza nani, na kwa nini asiendelee kukuliwaza? Samahani sisi tunao wetu tayari wa kuliwazana nao.

Ambaye huwa ananiliwaza yuko mbali na anaendesha semina - hivyo kwa sim simpati na kuwa naye live ndo hivyo haiwezekani. Binti.com ongelea nafsi yako, usiseme kwa wingi.
 
Hapo kwenye gharama za maliwazo Kaunga. Mie najitolea for free, ila nataka simu ya nokia lumnia yenye postpaid airtime walau ya laki unusu kwa mwezi.

Ile niliyokupa umepeleka wapi?.
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye gharama za maliwazo Kaunga. Mie najitolea for free, ila nataka simu ya nokia lumnia yenye postpaid airtime walau ya laki unusu kwa mwezi.

Hahahah
Aisee bora ya mimi; au hivyo ni vitendea kazi eeh! LOL
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom