Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's a huge violation of trust and breach of privacy. Phones are just personal.Quite right...
Simu ya mwanaume ni ya mwanaume tu huna haja ya kuikagua. Ila simu yako mwanamke wanaume anafaa kuishika na kuikagua muda wowote akijisikia..Coz Mwanaume hana mipaka kwa mke wake.
Ke watanipopoa coz It's bit harshy but noway you have to swallow it 🚶🚶
View attachment 2294479
Mpaka yanakuwemo kwenye simu ^yasiyotakiwa^ hiyo si ndoa tena bali ndoano.Kama ni mwili mmoja maana yake chake ni chako na chako ni chake
Kushika simu sio mbaya
Ubaya huwa unakuja unapokutana na yasiyotakiwa kuonekana na ukashindwa ku-mantain peace kwenye ndoa
Mmoja mwenye akili wewe. The phones, si tu kwamba zinapaswa kushikwa na both parties interchangeably, lakini pia mnaweza ku-reshuffle. Leo hubby akampa honey ake Samsung G. s22 Ultra, yeye akaichukua iphone 13 Pro Max yake.Kwakweli sipendi surprise.... Ntaishika tuu
Wewe usipekue ya mmeo, usiwalazimishe wenzao kutopekua, kila mtu aishi anavyotaka bwana. Tuffuate miiko kutoka vitabu vya dini halaf tuje kufat miiko ya nyie binadamu? Kila mtu apambane na hali yakeNdio maana inaitwa simu ya mkononi kile ni kifaa cha matumizi yake binafsi sio matumizi ya familia.
Na unapekua simu ya mmeo ili ugundue nini? Ili iweje? Wanawake wengine bana!
Umbea tu na wivu ndio vinawasumbua.
Binafsi nimeshaandaa eneo, na nitajitolea kulipa mafundi. Hima hima jamani wajitokeze watu watoe mchanga na sementi sanamu la huyu dada linyanyuke kabla ya ijumaa..!Ndio maana inaitwa simu ya mkononi kile ni kifaa cha matumizi yake binafsi sio matumizi ya familia.
Na unapekua simu ya mmeo ili ugundue nini? Ili iweje? Wanawake wengine bana!
Umbea tu na wivu ndio vinawasumbua.
Mie yangu namuachia mtu yoyote aiseeKijitajia sitiresi za rejareja tu!!
Simu ya bwana wangu kwanini unipangie 😏Na unapekua simu ya mmeo ili ugundue nini? Ili iweje? Wanawake wengine bana!
Umbea tu na wivu ndio vinawasumbua
Kwa kweeli. 💃Hatuachi
SafiiiiiPole mwaya. Japo Mie kila nikijaribu siwezi aisee.
Yaani nipo radhi hata saa saba usiku akiwa anakoroma basi mie nitaamka niipekue. 😅