Wanawake tuache kushika simu za waume zetu

Wanawake tuache kushika simu za waume zetu

Michepuko tu ndo wataunga hizi juhudi zako mtoa mada, ila main ni ngumu simu zitakaguliwa kwa sana hutaki jamba
 
🤣😂🤣🤣😂🤣
IMG_20220722_121341_346.jpg
 
Kama ni mwili mmoja maana yake chake ni chako na chako ni chake

Kushika simu sio mbaya
Ubaya huwa unakuja unapokutana na yasiyotakiwa kuonekana na ukashindwa ku-mantain peace kwenye ndoa
chake ni chako na chako ni chako mwenyewe.

alafu ww dada ulinichomoloeaga aiseee,

nilitakaga ni kihonge nyumba ila ukapindua
 
Why should we fake our life? [emoji2369]

Kama huna maishu Kwanini ukatae Simu yako kufikiwa kwa Uhuru na Mpenzi wako (mkeo)?
 
Ndio maana inaitwa simu ya mkononi kile ni kifaa cha matumizi yake binafsi sio matumizi ya familia.

Na unapekua simu ya mmeo ili ugundue nini? Ili iweje? Wanawake wengine bana!

Umbea tu na wivu ndio vinawasumbua.
mimi yaliyonikuta sina hamu. ila kuacha ndiyo siachi kwakweli.
 
Back
Top Bottom