Wanawake tuache roho mbaya kwa wenza wetu

Wanawake tuache roho mbaya kwa wenza wetu

Ww ndo utakua mkombozi wa huyo mwanaume endapo atabambikiziwa kesi ya kubaka, kama ulivyokuja kwa ujasiri hapa na mahakamani ukapinge hiyo kesi kwa kutoa ushahidi uliokuwa nao kwamba amesingiziwa hakubaka na mkakati mzima wa kumtengenezea kesi ulikuwa unaujua.

Ikitokea mzee wa watu ameenda jela alafu ww una ushahidi 100% kwamba hajafanya hilo tukio, basi hii dhambi itakutafuna sana na utakosa amani na furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa umetaja karibia identity zao basi huyo teacher nitamsaidia kama hilo jambo ni kweli.
Kama huyo mama unamjua muambie huu ugomvi unenunuliwa rasmi na watu wasiojulikana na ajiandae kulipa gharama za uonevu. Huwezi kumtesa teacher tena mlokole tukuache ukitamba.
 
Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalim wa tagamenda sekondari.kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila alie mshauri alimjengea chuki.
a Stivu.
Bahati mbaya likizo huyu baba ameenda kwao lakini akirudi huu ndo mkakati uliosukwa.

MUNGU TUSAIDIE NA UTUSAMEHE DHAMBI ZETU. MOYO WANGU UNAAMANI KWA KUUFICHUA UKWELI HUU.
Huyu mwanamke kinachomshinda ni kumkorogea sumu mwenzie tu.
 
Jitahidi kumnasua teacher kwenye huo mtego hakika Mungu atakulipa mema wewe na kizazi chako. Kuna leo na kesho kwenye haya maisha usimfanyie ubaya mtu kiasi hicho ukaupoteza utu wake,hii dunia tunapita tu ndugu zanguni.
 
Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalim wa tagamenda sekondari.kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila alie mshauri alimjengea chuki.

Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa alidiriki hata kumnyima chakula. Huyu baba alivumilia yote hayo kwa kuwa wamezaa watoto wawili na wamefankiwa kujenga huku kitwiru Iringa. Baba huyu ni mlokole na kwakweli hajui kubishana kabisa yaani unaweza ukahisi labda anashida.

Sasa shosti ameenda mahakamani kaomba talaka na anataka nyumba iuzwe kila mtu apewe chake .Baba wa watu hataki nyumba iuzwe wapewe watoto lakini mwanamke hataki. Nyumba yao ni nzuri tu. Sasa shosti anashinda manispaa akiwashawishi wathaamini WAISHUSHE nyumba gharama ili amkomoe aliekuwa mme wake.

Mahakam iliamuru mme apewe 40 %na mke 60. Sasa baba wa watu ametaa kuhama kwenye nyumba mpaka atakapojua hatma ya nyumba yao.

SASA SHOSTI YUKO ANASUKA MPANGO WA KUMBAMBIKIA KESI YA UBAKAJI KUPITIA KWA BINTI WA KAZI.

Kuna binti amemchkua kwa rafiki yake kwa kazi hiyo. Na kuna mwanaume anasuka mpango huo anaitwa Stivu.
Bahati mbaya likizo huyu baba ameenda kwao lakini akirudi huu ndo mkakati uliosukwa.

MUNGU TUSAIDIE NA UTUSAMEHE DHAMBI ZETU. MOYO WANGU UNAAMANI KWA KUUFICHUA UKWELI HUU.
Ukweli huu (Kama ni kweli) utakuwa umefichuka vilivyo kama huyo mzee atafikiwa na taarifa hii
 
Wapo wanawake wenye roho mbaya sana hapo unakuta uyo mwanamke kuna mwanamme anakula mbususu yake ndo anamuhadaa ila malipo ni hapa hapa duniani atalipwa mchana kweupe huyo mwanamke na ataishia kuwa single mama kisa kutamani dudu za nje
 
Niliwahi kuandika humu kusiana na rafiki yangu mmoja ambaye ni mtendaji wa mlandege & mumewe alikuwa mwalim wa tagamenda sekondari.kwa kweli rafiki yangu alikuwa anamnyanyasa sana mmewe na kila alie mshauri alimjengea chuki.

Rafiki yangu huyu hakutosheka kumuweka mumewe ndani tu mara kadhaa alidiriki hata kumnyima chakula. Huyu baba

Mkuu enda pm tafadhali[emoji1488]tuokoe huyu ticha asiye na hatia
 
Hizi roho mbaya wanawake wanazipata kwasababu ubongo unakua hauna cha kuwaza.

Uliskia wapi mume mlevi anapangiwa mipango miovu na mkewe? Mke daily anawaz huyu kiumbe leo ataokotwa mtaro gani 😃😃. Huyu mtu atarudi na jipya gani, sijui atakua kafurahi au kafura kwa mihasira yake, sijui hiki atapenda, sijui kile atasemajee.

Sasa kujikuta mzungu oooh kujali sana, upole mwingii eti ndo mnaita kupetipeti lazima usepeshwe tu maana we ni kama zoba huna changamoto.
 
Back
Top Bottom