Wanawake tuache roho mbaya kwa wenza wetu

Ww ndo utakua mkombozi wa huyo mwanaume endapo atabambikiziwa kesi ya kubaka, kama ulivyokuja kwa ujasiri hapa na mahakamani ukapinge hiyo kesi kwa kutoa ushahidi uliokuwa nao kwamba amesingiziwa hakubaka na mkakati mzima wa kumtengenezea kesi ulikuwa unaujua.

Ikitokea mzee wa watu ameenda jela alafu ww una ushahidi 100% kwamba hajafanya hilo tukio, basi hii dhambi itakutafuna sana na utakosa amani na furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakuwa umetaja karibia identity zao basi huyo teacher nitamsaidia kama hilo jambo ni kweli.
Kama huyo mama unamjua muambie huu ugomvi unenunuliwa rasmi na watu wasiojulikana na ajiandae kulipa gharama za uonevu. Huwezi kumtesa teacher tena mlokole tukuache ukitamba.
 
Huyu mwanamke kinachomshinda ni kumkorogea sumu mwenzie tu.
 
Jitahidi kumnasua teacher kwenye huo mtego hakika Mungu atakulipa mema wewe na kizazi chako. Kuna leo na kesho kwenye haya maisha usimfanyie ubaya mtu kiasi hicho ukaupoteza utu wake,hii dunia tunapita tu ndugu zanguni.
 
Ukweli huu (Kama ni kweli) utakuwa umefichuka vilivyo kama huyo mzee atafikiwa na taarifa hii
 
Wapo wanawake wenye roho mbaya sana hapo unakuta uyo mwanamke kuna mwanamme anakula mbususu yake ndo anamuhadaa ila malipo ni hapa hapa duniani atalipwa mchana kweupe huyo mwanamke na ataishia kuwa single mama kisa kutamani dudu za nje
 

Mkuu enda pm tafadhali[emoji1488]tuokoe huyu ticha asiye na hatia
 
Hizi roho mbaya wanawake wanazipata kwasababu ubongo unakua hauna cha kuwaza.

Uliskia wapi mume mlevi anapangiwa mipango miovu na mkewe? Mke daily anawaz huyu kiumbe leo ataokotwa mtaro gani 😃😃. Huyu mtu atarudi na jipya gani, sijui atakua kafurahi au kafura kwa mihasira yake, sijui hiki atapenda, sijui kile atasemajee.

Sasa kujikuta mzungu oooh kujali sana, upole mwingii eti ndo mnaita kupetipeti lazima usepeshwe tu maana we ni kama zoba huna changamoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…