Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

As long as ni long distance Ni mda tu mmoja wenu ata chepuka kipindi hiki mambo ni mengi mda ni mchache na tambua mwanamke ukichepuka na mchepuko anajua ni mke halali wa mtu usipokua makini hadi marinda yanatolewa
 
Umelenga penyewe.
Na mwanaume mwenyewe awe mashaalah kwenye 6x6 mbona mnajikuta dunia ni yenu asee
 
Hii tongoza ya huyu konki, maanina! Yaani ya ki code code na ajabu mamaa ashaanza kulegea
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…