Mwanamke ukimsifu hivo umemaliza, akikuona ashakupenda, na ushamla tayari.. tongoza za Aina hii wanawake wakae mbali nazoNimeandika nikafuta, nikaandika tena nikafuta ila kwa ufupi inaonesha wewe ni mwanamke mwnye msimamo sana, mpole, mwnye busara na upendo sana kwa mumeo nikupongeze sana kwa hilo.[emoji8]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwanamke ukimsifu hivo umemaliza, akikuona ashakupenda, na ushamla tayari.. tongoza za Aina hii wanawake wakae mbali nazo
Ajira dear.kila mtu ameajiriwa Mbali na mwenzioMasturbation mnafanya mkiwa pamoja au mkiwa mbali mbali? Nini kimesababisha msiishi pamoja? Ajira? Kama ni ajira kwanini mmoja asijaribu kutafuta kazi kule aliko mwenzie kutokana na wapi mnakupenda?!
Wnakudanganya hao haina utamu kama ule Wakugegedana
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji23]Hahahaha na kwa naniliu(sema sijakariri username yake)moyo wako umedata pia?Za kwangu mimi nzuri kwa msaada wa nyungu!
Mi nimetokea kukupenda ila nashindwa kukuambia sijui hata nikuambieje!.. moyo wangu umedata kwako nimetafuta kila njia lkn wapi sijui siku nikikuambia nakupenda itakuwaje..!
Kila mtuu anapenda sex.ila inatokana na upendo
story yako inafanan na yangu kabisaaUmenikumbusha Mbali, Kuna Kadada Kamoja Kalikuaga Form4 Nilikaomba Nyapu Kakanidanganya Bado Ni Bikra Bt Kalikua Kanapenda Sana Sex Chat...
Siku1 Kakajilengesha Bt Sikukuta Bikra Wala Nini, Nikauliza Kakajibu Itakua Ilitoka Kwa Sex Chat Coz Ukiwa Unachat Mkono1 Unakua Kwa Nyapu Unajichezea Bt Bado Sikuamini Nilijua Tu Nimelishwa Matango Pori
Nahuo ndo unaitwa Ubunifu chanya wa mapenzi
Nita kufundisha
Una umri ganiHabari zenu wanawake wenzangu wa MMU.
Karibuni tujadili changamoto zinazotupata kipindi ambacho wapenzi wetu wawapo mbali, kikazi au kwa shughuli yoyote ile inayowafanya msionane kwa mda mrefu.
Mimi binafsi MUME wangu sipo naye karibu, ninaweza kukaa week 3 mpaka miezi 3 bila kuonana. Linapokuja suala la sex kwetu huwa ni changamoto sana. Na ukizingatia tukiwa pamoja ni tunapeana malovedave ya kutosha tu popote pale.
Inabidi uwe mvumilivu sana aisee! la sivyo utaishia kuchepuka kila kukicha na kuzaa watoto wa njee ya ndoa tu baadae ije ilete usumbufu tu.
Mimi namwenzangu huwa tunafanya sex chart, na kwa upande mwingine masturbation inahusika asee! na ni tamuuuu asikwambie mtu.
Hembu tupige story mbili tatu na wewe huwa unafanyaje kumaliza hali zako.
Naona wameuvamiaIla wanaume huu uzi sio wa kwenu.
Mnatuharibia kikao. Lol
Miezi nane lazima unasaidiwa palilia shambaMwezi wa 8 sasa Niko mbali na mpenzi nasoma kwa makini sana comments zenu hebu endeleeni kushusha nondo naona kuna kamchezo mnataka kunifundisha 'sex chat'
Una maanisha awe na bolo yan kubwaUmelenga penyewe.
Na mwanaume mwenyewe awe mashaalah kwenye 6x6 mbona mnajikuta dunia ni yenu asee
Sasa kama tusingekuwa na nyege .
Tungekuwa tunawapenda wanaume nyinyi.
Mimi zikinipanda namwambia baba njoo nina nyege.
Si wa kwangu bana