Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

Wanawake tulio mbali na wenza wetu tujadili changamoto tunazopata na jinsi ya kuzitatua

Kama nyinyi ndio mtu akiwajulia code zenu anawala kimasihara, kuna jamaa jirani hapa namuona anazoeana na mdada namba B fulani mumewe yuko ughaibuni tangu january...

Kwa hiyo Roma Mkatoliki na mkewe wanapiga nyeto kwa sana tuu


Alexander
 
kunywa kidonge tu unaFlash mimba ya wiki baada ya kukosa kuona
Gonoccocus la umbwa siku moja linaonekana unadungwa Gentermicine injection kibao

Unafikiri kunywa hayo madonge ni kitu kifurahishacho?

Mimba ya wiki unapima lini? Wakati ki uhalisia mpaka kuwe na missing period ndio unaanza wasiwasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi wa 8 sasa Niko mbali na mpenzi nasoma kwa makini sana comments zenu hebu endeleeni kushusha nondo naona kuna kamchezo mnataka kunifundisha 'sex chat'
 
Wanawake wapo wengi tu kuliko wanaume hata humu wapo wengi tu...hizo kauli zenu mnawapa sana promo hamjui tu.
Mpo wengi ila Corona inapita na nyie [emoji23] tutalingana idadi tu

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
Back
Top Bottom