Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna huruma au mna NJAAKatika pitapita zangu huko mitandaoni nimekutana na picha safi yenye mvuto wa kipekee ya bwana yule tuliyeaminishwa "He is such a gentleman " Nami nahitimisha truly he is gentleman.
View attachment 2037808
Swali zuri.Mna huruma au mna NJAA
Pesaa Diamond alisema wakati kafulia walikuwa wanasema ana domo now hao hao wanasema ana lips denda 🤣🤣🤣😳Katika pitapita zangu huko mitandaoni nimekutana na picha safi yenye mvuto wa kipekee ya bwana yule tuliyeaminishwa "He is such a gentleman " Nami nahitimisha truly he is gentleman.
View attachment 2037808
Na sisi tupo kuzitafuta tukawatumie kama tunavyokunywa biaWajomba wenzangu ndio mkae mkijua hawa watu wapo kwa ajili ya pesa zetu tu. Ujue wanatufanya mafala sana
Boss kwani amekuambia hatafuti pesa au kasema hana pesa?Tafuta tu hela,kila kitu kitakua sawa kwako,heshima utaipata tu,utapendwa na kila mtu,utaonekana handsome na kila mtu.
Kwani kuna sehemu nimesema hana pesa au hatafuti pesa?Boss kwani amekuambia hatafuti pesa au kasema hana pesa?